• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 3:25 PM

Mahangaiko ya wasafiri katika barabara ya kuunganisha Kenya na Sudan Kusini

NA OSCAR KAKAI MAMIA ya wasafiri wamekwama kati ya eneo la Lous na Kambi Karai, kaunti ya Pokot Magharibi kwenye barabara kuu ya...

Natafuta mwanamke mwaminifu nimuoe, je, nitampata?

Kwako shangazi. Nina miaka 27. Ninatafuta mwanamke mwaminifu kwa uhusiano wa kimapenzi kisha nimuoe baadaye tuishi pamoja. Je, nitaweza...

Presha kwa Arsenal ikihitaji pointi 2 kumaliza EPL katika nafasi ya 2

Na MWANGI MUIRURI KLABU ya Arsenal inahitaji pointi mbili pekee katika mechi zake mbili ilizosalia nazo katika Ligi Kuu ya Uingereza...

Kocha Jurgen Klopp kagombana na hawa wachezaji sita

NA LABAAN SHABAAN KOCHA Jurgen Klopp ni mtu mwenye msimamo thabiti, sifa inayomfanya asiwe mgeni wa kugombana na baadhi ya wachezaji wa...

Mabalozi 26 wapya sasa kuanza kazi baada ya kuteuliwa rasmi na Rais Ruto

NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto amewateua rasmi mabalozi wapya 26 baada ya uteuzi wao kuidhinishwa na Bunge la Kitaifa majuma...

Safisha nywele: Wigi si za kuficha nywele chafu, upara

NA PAULINE ONGAJI ATHARI zinazotokana na kusonga na kupaka nywele dawa za kuzilainisha, zimesababisha mabinti wengi kuanza kuota upara....

Ufisadi: Hofu mabilionea wa mafuriko waja ilivyokuwa wakati wa Covid-19

NA MWANGI MUIRURI  TAIFA la Kenya huwa na sifa mbovu ya kuzalisha mitandao ya ufisadi na makateli wasiojali ambapo wao hujizolea...

Serikali kukusanya maji ya mvua yatumike wakati wa kiangazi

NA LAWRENCE ONGARO SERIKALI ina mpango wa kukusanya maji yote yanayotokana na mvua kubwa inayonyesha nchini ili kuyahifadhi kwa matumizi...

Wakazi Lamu waona faida za njia za cabro walizodharau

NA KALUME KAZUNGU MWAKA 2013 Gavana wa kwanza wa Kaunti ya Lamu, ambaye pia ndiye anayekalia kiti kwa sasa, Bw Issa Timamy, alifichua...

Mwathiriwa asimulia jinsi shambulio garini lilivyomuacha na ulemavu

NA FRIDAH OKACHI WAATHIRIWA wa ajali iliyosababishwa na vilipuzi vya magaidi kwenye barabara kuu ya Thika Superhighway mnamo Mei 4,...

Mnyama Haaland ‘aua Arsenal’ kwa kuongoza Man City kukomoa Wolves 5-1

Na MWANGI MUIRURI BAADA ya mashabiki wa Arsenal kutegemea Wolverhampton Wonderers (Wolves) iwashikie Manchester City katika mchuano wa...

Saa za kimbunga Hidaya kuwasili Kenya zakaribia

NA CHARLES WASONGA IDARA ya Utabiri wa Hali ya Hewa nchini inasema kuwa kimbunga Hidaya kimewasili katika Pwani ya Tanzania huku...