Sunday, September 15th, 2019
BI TAIFA AGOSTI 07, 2019
Anne Muoria ni mzaliwa wa kaunti ya Taita Taveta. Yeye ni mwanafunzi katika Chuo cha Mount Kenya bewa kuu mjini Thika. Anapenda kusafiri na kujumuika na marafiki. Picha/Richard Maosi