Thursday, May 24th, 2018
BI TAIFA APRILI 13, 2018
Rosemary Ngari, 23, ni mkazi jijini Mombasa. Uraibu wake ni kusoma vitabu, kutazama filamu, kusikiliza muziki wa Bongo.
Vile vile yeye ni mwanamitindo na pia mwigizaji wa filamu. Picha/ Kazungu Samuel