Bi Taifa Bi Taifa

BI TAIFA – JANE SYOMBUA

Mrembo anayechukua zamu kwenye safu hii sasa ni Jane Syombua. Jane ni mwanahabari wa dijitali aliyefuzu katika Chuo Kikuu cha KCA na shahada majuzi. Ana utaalamu katika masuala ya Digital Marketing na anapenda sanaa, fasheni na kujumuika na marafiki. PICHA | HISANI

Mpate kwenye mitandao ya kijamii