Monday, October 26th, 2020
BI TAIFA OKTOBA 01, 2020
Mary Wambui, 21, ndiye anatupambia tovuti yetu leo. Yeye ni mwanamitindo katika mtaa wa Uthiru, Kaunti ya Nairobi. Uraibu wake ni kupika, kutazama filamu na kuogelea. Picha/Richard Maosi