Monday, October 26th, 2020
BI TAIFA OKTOBA 07, 2020
Grace Mukuhi, mwenye umri wa miaka 20, ni mwanamitindo jijini Nairobi, mtaa wa Uthiru. Uraibu wake ni kusikiza muziki, kuogelea na kujumuika na marafiki. Picha/Richard Maosi