Dimba

Sebastian Sawe bingwa mpya London Marathon; Kipchoge amaliza wa sita

Na MWANDISHI WETU April 27th, 2025 Kusoma ni dakika: 1

MKENYA Sebastian Sawe ameshinda London Marathon kwa saa 2:02:26 akimpita raia wa Uanda Jacob Kiplimo.

Aidha, Mkenya Alexander Mutiso ambaye alibeba taji hilo mwaka jana amekuwa wa tatu katika mbio ambazo lejendari wa miaka mingi Eliud Kipchoge ameridhika na nafasi ya sita.

Habari kamili ni hivi punde…