Habari

Aliyekuwa Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari afariki akipokea matibabu London

Na MWANDISHI WETU July 13th, 2025 Kusoma ni dakika: 1

ALIYEKUWA Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amefariki akipokea matibabu jijini London, Uingereza; msemaji katika afisi yake Garba Shehu amethibitisha.

Buhari alikuwa Rais kabla ya kumpokeza mrithi wake wa sasa Bola Tinubu aliyeshinda kiti hicho katika uchaguzi Februari 2023.

Mengi zaidi yanafuata…