• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 8:55 AM

KIKOLEZO: Walivyoacha mashabiki hoi

Na THOMAS MATIKO YAPATA wiki mbili zilizopita, mwanamuziki wa kike Ivlyn Mutua aliitikisa tasnia ya injili kwa kuchukua hatua isiyo ya...

BAMBIKA: KFCB bado mpo mtaani?

Na MWANDISHI WETU YALE mashairi ya wimbo maarufu Riziki uliotungwa na bendi ya Jamnazi Afrika miaka ya nyuma ghafla yamenishika...

KIKOLEZO: Wamekanyagiwa sana Hollywood

Na THOMAS MATIKO KULINGANA na ripoti mbalimbali za kule majuu, mojawapo ya sifa muhimu unayotakiwa kuwa nayo ili uweze kutoboa...

KIKOLEZO: Nusra wachonge viazi

Na THOMAS MATIKO UVUMILIVU ni sifa muhimu sana katika maisha ya mwanadamu. Kwenye ulimwengu wa burudani, uvumilivu na bidii ndivyo viungo...

KIKOLEZO: Utamu wa mchepuko

Na THOMAS MATIKO UNAWEZA kusema kuwa mchepuko umeondokea kuwa kama vile ni mtindo wa kawaida sana ijapo sio sawa. Kikweli mchepuko...

BAMBIKA: Nyimbo zilizozimwa kwa kuonwa ‘takataka’

Na THOMAS MATIKO NISHIKE (Sauti Sol) KUTAZAMWA: 2.9 milioni+ BENDI ya Sauti Sol ilitrendi 2014 baada ya kuachia video ya wimbo...

BAMBIKA: Wako mitini

Na THOMAS MATIKO KULE Bongo kuna msemo "kutesa kwa zamu". Wapo wasanii wa kileo waliowahi kutesa sana kwenye chati za muziki duniani...

ANA KWA ANA: Ni kweli, ‘The Trend’ imejenga brandi yangu

Na THOMAS MATIKO EDWIN Butita, ni kati ya chale wanaokubalika hapa nchini. Toka kipaji chake kiweze kutambulika kupitia kipindi cha...

KIKOLEZO: Ageuka lulu majuu

Na THOMAS MATIKO NYOTA mwigizaji wa hapa nyumbani Lupita Nyong’o anazidi kuchachisha kule majuu Hollywood kwa mambo makubwa...

DOMO KAYA: Riri anabisha, nani atamlaki?

Na THOMAS MATIKO SIJUI kama umezisikia hizi habari kwamba menejimenti ya msanii staa kutoka Marekani, Rihanna inamsaka promota mwenye...

ANA KWA ANA: Ucheshi wamgeuza bonge la staa

Na THOMAS MATIKO STEVEN Oduor Dede, wengi wakimfahamu kama DJ Shitti ni miongoni mwa wavunja mbavu wanaopiga mkwanja mnene nchini kutokana...

BAMBIKA: Waliondoka bila kakitu?

LEO Ijumaa anazikwa rapa lejendari Chris Kantai, maarufu Chris Kantadda nyumbani kwao Ngong. Kantadda aliyevuma miaka ya nyuma alifariki...