Tag: bandari fc
Felly Mulumba kuisakatia Bandari wikendi
ABDULRAHMAN SHERIFF, MOMBASA ALIYEKUWA mchezaji wa FC Platinum ya Zimbabwe, Felly Mulumba ni miongoni mwa wachezaji wa kikosi cha timu...
- by adminleo
- May 16th, 2020
Gor Mahia na Bandari FC kukosa fedha za CAF za mfuko wa kukabili Covid-19
Na GEOFFREY ANENE WAWAKILISHI wa Kenya katika soka ya Bara Afrika ya msimu 2019-2020, Gor Mahia na Bandari wanasalia kumeza mate wengine...
- by adminleo
- March 14th, 2020
Bandari waamini hatima yao ni leo Jumamosi wakisaka Betway
Na ABDULRAHMAN SHERIFF MATOKEO ya mechi ya Kombe la FKF (Betway) baina ya Bandari na Sofapaka FC itakayopepetwa uwanjani Mbaraki Sports...
- by adminleo
- November 26th, 2019
Hofu Bandari kwa matokeo duni, sasa waita mkutano
Na ABDULRAHMAN SHERIFF na GEOFFREY ANENE KOCHA wa Bandari FC, Bernard Mwalala anapanga kuitisha mkutano wa dharura wa wachezaji, maafisa...
- by adminleo
- June 26th, 2019
Bandari ange kuzichapa na Cape Town City kirafiki
Na ABDULRAHMAN SHERIFF na GEOFFREY ANENE TIMU ya Bandari FC imeratibiwa kucheza mechi ya kwanza ya kujipima nguvu dhidi ya timu ya Cape...
- by adminleo
- January 17th, 2019
Bandari yang’oa Mathare United kileleni
Na GEOFFREY ANENE BANDARI FC imedumisha rekodi yake ya kutoshindwa na Posta Rangers hadi mechi saba baada ya kuandikisha ushindi wake wa...
- by adminleo
- August 8th, 2018
Baada ya kuilambisha sakafu Gor, Bandari sasa wasema ligi ni yao
NA CECIL ODONGO KOCHA wa Bandari FC Bernard Mwalala anaamini kwamba timu hiyo inaweza kutwaa ubingwa wa KPL msimu huu baada ya...
- by adminleo
- July 10th, 2018
Weledi wa Mwalala utaifaa Bandari ligini – Obungu
Na CECIL ODONGO ALIYEKUWA Mnyakaji wa Klabu ya Bandari FC Wilson Obungu ambaye sasa ni moja wa wakufunzi katika timu hiyo amesema ujio wa...