• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 9:15 PM

AFYA: Je, virusi vya HIV vinachochea corona?

TANGU takwimu za wizara ya Afya zilipoanza kuonyesha kuwa maambukizi ya virusi vya corona yameongezeka katika ukanda wa Ziwa Victoria,...

Serikali yaonya wimbi la tatu la corona lanukia nchini Tanzania

Na MWANANCHI SERIKALI ya Tanzania imesema kuna ishara kwamba wimbi la tatu la ugonjwa wa Covid-19 litatua nchini humo, na kuhimiza raia...

Hofu ya msambao mpya kanuniza kudhibiti corona zikipuuzwa

Na BENSON MATHEKA WANASIASA wa vyama vikuu katika chaguzi ndogo za maeneobunge ya Juja Kaunti ya Kiambu, Bonchari, Kaunti ya Kisii na...

Wagonjwa 18 wa corona wafa moto ulipozuka kwenye wodi

Na MASHIRIKA WAGONJWA 18 walifariki baada ya moto kutokea katika wodi ya wagonjwa wa Covid-19 katika hospitali moja magharibi mwa India...

Uhuru aondoa amri ya kutoingia na kutoka kaunti tano zilizofungwa

Na SAMMY WAWERU RAIS Uhuru Kenyatta Leba Dei ametangaza kuondoa amri ya ama kuingia au kutoka kaunti tano zilizotajwa kuwa hatari katika...

JUMA NAMLOLA: Marufuku yasitumike kuumiza mwananchi wa chini

Na JUMA NAMLOLA TANGU serikali itangaze marufuku ya usafiri kutoka eneo moja la nchi hadi jingine, mambo mengi...

LEONARD ONYANGO: Magavana waliofuja fedha za corona waandamwe

Na LEONARD ONYANGO KILA mara magavana wanapohutubia Wakenya kuhusiana na hali ya ugonjwa wa corona katika kaunti zao, wanaangua kilio...

Corona: Idadi ya waliopokea chanjo duniani yafika bilioni

Na AFP IDADI ya watu waliopokezwa chanjo ya corona kote duniani imefikia bilioni moja. Takwimu zinaonyesha kuwa chanjo ya corona...

Nyoro, Wamatangi walaumiana kuhu utafunaji wa pesa za corona

Na KAMAU MAICHUHIE MZOZO wa uongozi umechipuka kati ya Gavana wa Kiambu, James Nyoro, na Senata Kimani Wamatangi kuhusu madai ya ufujaji...

SIASA NI UTUMWA TU – KIRAITU MURUNGI

Na MWANDISHI WETU Gavana wa Meru, Bw Kiraitu Murungi, amelazimika kuungama hadharani kuwa janga la corona limemfunua macho akabaini kuwa...

MAUYA OMAUYA: Amri ya kafyu imegeuka soko la rushwa

Na MAUYA OMAUYA JUMAPILI iliyopita, binamu wangu anayeishi mjini Nakuru alinipigia simu kunieleza amesafiri hadi Nyamira kuwasalimu kina...

Wazee wa Kaya watishia kulaani waliosingizia Naibu Gavana

Na CHARLES LWANGA WAZEE wa Kaya wamewataka wale waliosingizia Naibu Gavana wa Kilifi, Bw Gideon Saburi mashtaka ya kupotosha wakati wa...