Habari za Kitaifa

Mchuuzi aliyepigwa risasi na polisi katika maandamano angali hai, familia yathibitisha

Na BENSON MATHEKA June 18th, 2025 Kusoma ni dakika: 1

BONIFACE Kariuki, mchuuzi wa barakoa aliyepigwa risasi na afisa wa polisi wakati wa maandamano jijini Nairobi Jumanne, angali hai, familia yake imesema.

Babake, John Kariuki alisema mwanawe alipigwwa risasi kichwani juu ya sikio…

Habari zaidi zinafuata…