• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 4:42 PM

Spurs kurefusha mkataba wa Harry Kane ili kuzima ndoto za Man-City na PSG

Na MASHIRIKA TOTTENHAM Hotspur wameanza mazungumzo na Harry Kane kwa lengo la kushawishi fowadi huyo raia wa Uingereza kutia saini...

Kane aongoza Spurs kulaza West Brom 1-0 katika EPL

Na MASHIRIKA BAO la 150 la fowadi Harry Kane katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) Jumapili limewawezesha Tottenham Hotspur kupiga West...

Kane afikisha mabao 200 baada ya kuchezea Tottenham mara 300

Na MASHIRIKA KATIKA mechi yake ya 300 kambini mwa Tottenham Hotspur, fowadi Harry Kane alifunga bao lake la 200 na kusaidia waajiri wake...

Harry Kane alenga kufunga jumla ya mabao 200 katika EPL na kufikia rekodi za Shearer na Rooney

Na CHRIS ADUNGO MSHAMBULIAJI matata wa Tottenham Hotspur, Harry Kane amesema kwamba analenga kuwa mchezaji wa tatu baada ya Alan Shearer...

Mshambuliaji Harry Kane adhamini jezi za kikosi cha Leyton Orient msimu ujao

CHRIS ADUNGO na MASHIRIKA NAHODHA wa timu ya taifa ya Uingereza na klabu ya Tottenham Hotspur, Harry Kane, amedhamini jezi za kikosi...

Hatuwezi kumuuza Harry Kane kwa mpinzani wetu EPL – Spurs

NA CHRIS ADUNGO TOTTENHAM Hotspur wameshikilia kuwa hawana nia ya kuzinadi huduma za mvamizi na nahodha wao Harry Kane msimu huu. Aidha,...

ALENGA REKODI: Kane ataka awe mfungaji bora wa muda wote ‘Three Lions’

Na MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA KOCHA Gareth Southgate wa timu ya taifa ya Uingereza na aliyekuwa mvamizi wa zamani wa timu hiyo, Alan...

UTANI KANDO: Kane awarai wenzake kuzima tofauti baina yao kwa ajili ya taifa

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza MWANASOKA Harry Kane wa timu ya taifa ya Uingereza, amesisitiza kwamba uhasama miongoni mwa wachezaji wa...