Tag: kibwana
- by adminleo
- June 20th, 2020
Kibwana na Muthama wazika tofauti zao
BENSON MATHEKA na PIUS MAUNDU GAVANA wa Makueni Kivutha Kibwana na aliyekuwa seneta wa Machakos Johnson Muthama wamezika tofauti zao na...
- by adminleo
- November 18th, 2019
Kalonzo na Kibwana wapapurana
Na PIUS MAUNDU UADUI kati ya Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka na Gavana wa Makueni, Profesa Kivutha Kilonzo ulitokota zaidi wikendi...
- by adminleo
- September 2nd, 2019
Kibwana akana madai ya kufanyia kazi Tangatanga
Na PIUS MAUNDU GAVANA wa Makueni, Prof Kivutha Kibwana amepuuzilia mbali madai ya baadhi ya wandani wa kinara wa chama cha, Bw Wiper...
- by adminleo
- August 31st, 2019
Mudavadi anyemelea Kibwana kuhusu 2022
Na WANDERI KAMAU na PIUS MAUNDU KIONGOZI wa chama cha ANC, Bw Musalia Mudavadi ameashiria kuwa huenda akaungana na Gavana wa Makueni...
- by adminleo
- August 12th, 2019
Kibwana asifu madiwani wa Wiper waliompuuza Kalonzo
NA PIUS MAUNDU GAVANA wa Makueni, Prof Kivutha Kibwana, Jumatatu alizidisha uhasama wa kisiasa kati yake na Kinara wa Wiper, Kalonzo...
- by adminleo
- May 28th, 2019
Wiper yaanza mbinu za kumwadhibu Kibwana
Na PIUS MAUNDU KIONGOZI wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka, amevunja ushirikiano wa chama chake na kile cha Muungano katika hatua ya...
- by adminleo
- May 25th, 2019
Zogo la Kibwana, Muthama kuhusu Kalonzo lafufuka
Na PIUS MAUNDU na GASTONE VALUSI MZOZO kati ya Gavana wa Makueni, Kivutha Kibwana na kiongozi wa Wiper, Kalonzo Musyoka umechipuka tena...
- by adminleo
- March 7th, 2019
TAHARIRI: Ni wazi hatua za ugatuzi bado hafifu
NA MHARIRI KONGAMANO la siku tatu la Ugatuzi lilimalizika katika Kaunti ya Kirinyaga Alhamisi huku mambo kadha wa kadha yakijitokeza....
- by adminleo
- January 8th, 2019
Prof Kibwana atakiwa kuomba msamaha kwa kumkejeli Kalonzo
Na STEPHEN MUTHINI GAVANA wa Kaunti ya Makueni, Prof Kivutha Kibwana, ameambiwa aombe msamaha kwa kumkosoa Kiongozi wa Chama cha Wiper,...
- by adminleo
- December 10th, 2018
Ushirikiano wa Kalonzo na Uhuru hauwasaidii Wakamba – Prof Kibwana
NA PIUS MAUNDU MWENYEKITI wa chama cha Wiper Prof Kivutha Kibwana kwa mara nyingine amejitokeza kumshtumu vikali kiongozi wa chama hicho...
- by adminleo
- December 10th, 2018
Huyu ndiye kiongozi anayenuia kumrithi Prof Kivutha Kibwana
Na Pius Maundu NAIBU Gavana wa Makueni Adelina Mwau ametangaza kuwa ana azma ya kugombea ugavana kwenye uchaguzi mkuu wa 2022, Gavana...
- by adminleo
- November 16th, 2018
Hatimaye Mutua akubali kushirikiana na Ngilu na Prof Kibwana
CHARLES WASONGA na STEPHEN MUTHINI GAVANA wa Machakos, Dkt Alfred Mutua Ijumaa alikutana na wenzake, Prof Kivutha Kibwana (Makueni) na...