• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 5:50 AM

KINA CHA FIKIRA: Ukitumia mawazo yako vyema basi utakuwa mwema

Na WALLAH BIN WALLAH AKILI ni nywele na kila mtu ana zake. Kila binadamu akizitumia akili zake vizuri, zitampeleka pazuri. Akizitumia...

KINA CHA FIKIRA: Punguza mzigo wa maisha badala ya kujiongezea mzigo

Na WALLAH BIN WALLAH MAISHA ni mzigo mzito kote ulimwenguni! Kila mtu analia kwamba maisha ni magumu! Wapo wanaolia waziwazi hadi...

KINA CHA FIKIRA: Ukitenda wema utalipwa wema hapa duniani

Na WALLAH BIN WALLAH MATENDO mema ya mwanadamu ndiyo yanayojenga utu wa mwanadamu. Na matendo maovu ya mtu ndiyo yanayobomoa utu wa...

KINA CHA FIKIRA: Jitahidi ule jasho lako, vya wengine vitakusakama

Na WALLAH BIN WALLAH MAISHA si mteremko. Ni safari ngumu kama kuukwea mlima! Lakini unavyozidi kuukwea mlima ndivyo unavyosonga zaidi...

KINA CHA FIKIRA: Ishi ukienda mbele badala ya kurudi nyuma!

Na WALLAH BIN WALLAH MAISHA ni safari ya kuenda mbele moja kwa moja mpaka mwisho! Kila mtu anapaswa kutimiza wajibu wake wakati huu...

KINA CHA FIKIRA: Shirikiana na watu bora ili nawe uwe bora, visivyo utasalia bure tu!

NA WALLAH BIN WALLAH KATIKA maisha ubora hutafutwa kwa hali na mali. Lazima ukae na watu walio bora mahali palipo na ubora ndipo...

KINA CHA FIKIRA: Tumia ubora ulio nao kufanyia kazi bora ili ufanikiwe

Na WALLAH BIN WALLAH BINADAMU ana ubora wa kipekee. Hawezi kupaa angani kama ndege wanaotumia mbawa zao kupaa angani. Lakini binadamu...

KINA CHA FIKIRA: Adui ni sumu kali, ukimficha kwako basi atakudhuru!

Na WALLAH BIN WALLAH ADUI ni mtu au mnyama au kiumbe chochote kinachoweza kukutendea maovu! Ukijua kuwa kiumbe fulani au mtu yeyote...

KINA CHA FIKIRA: Ukiogopa kuvumilia kubeba mzigo wa mateso utateseka zaidi

Na WALLAH BIN WALLAH UVUMILIVU huleta mafanikio katika maisha. Mtu anayevumilia kufanya kazi kwa bidii huyavuna matunda ya uvumilivu...

KINA CHA FIKIRA: Ni busara kufikiri kabla ya kusema, maneno hayarudi kinywani yakishatoka

Na WALLAH BIN WALLAH KUSEMA ni kuwasiliana na kuelewana. Mtu husema kitu anachokitaka ndipo hupewa au hununua ama...

KINA CHA FIKIRA: Mwerevu hajinyoi, usitumie matatizo unayopitia kulaghai

Na WALLAH BIN WALLAH MATATIZO yanapoongezeka maishani watu hutumia mbinu nyingi ili waishi. Wengine hutumia ujanja, utapeli na...

KINA CHA FIKIRA: Shida huzunguka, leo kwangu kesho yaweza kuja kwako

Na WALLAH BIN WALLAH DUNIA ni duara. Na maisha ni mabadiliko. Leo hivi, kesho vile! Kuna kupata na kukosa. Ukibahatika kupata...