Tag: knh
- by adminleo
- September 27th, 2019
MBURU: Mswada ukifaulu utazima hospitali kuzuilia wagonjwa, maiti
Na PETER MBURU MSWADA wa marekebisho kwenye Sheria ya Afya, unaopendekeza serikali iwe ikitengea hospitali za umma Sh4.8 bilioni ili...
- by adminleo
- June 4th, 2019
Uweza na KNH zatamba ugenini
JOHN KIMWERE, MAGANA TIMU za Uweza FC na Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta (KNH) zilirejea nyumbani jijini Nairobi kwa tabasamu baada ya...
- by adminleo
- May 28th, 2019
Kocha wa KNH alenga kushinda mechi zilizosalia na kumaliza kileleni
Na JOHN KIMWERE KOCHA wa timu ya Hospitali Kuu ya Kitaifa ya Kenyatta (KNH), George Makambi anaamini kikosi chake kina fursa ya kufanya...
- by adminleo
- May 13th, 2019
Uozo katika hospitali nne za rufaa unavyolemaza utoaji huduma
Na CHARLES WASONGA HOSPITALI nne za rufaa humu nchini zimezongwa na matatizo kiasi kwamba utoaji wa huduma zisizoafiki viwango vya...
- by adminleo
- January 31st, 2019
Madaktari wa KNH walivyounganisha uume wa mvulana
Na PETER MBURU MADAKTARI katika hospitali ya kitaifa ya Kenyatta (KNH) wamefanikiwa kuunganisha sehemu ya uume wa mvulana aliyekatwa...
- by adminleo
- May 22nd, 2018
KNH: Wauguzi washtakiwa kumuua mgonjwa wa kansa kinyama
Na RICHARD MUNGUTI MWANAMKE alibubujikwa na machozi Jumatatu aliposimulia jinsi alikuta maiti ya mumewe imelazwa katika kitanda...
- by adminleo
- March 22nd, 2018
Utepetevu hospitalini KNH unavyomsababishia mama uchungu
Na GEOFFREY ANENE HOSPITALI ya Kitaifa ya Kenya (KNH) inamulikwa tena kwa madai ya kumfanyia mama mmoja upasuaji vibaya wakati wa...
- by adminleo
- March 22nd, 2018
KNH mashakani tena kufuatia upasuaji ovyo wa utumbo
[caption id="attachment_3380" align="aligncenter" width="800"] Eneo la matibabu ya dharura katika Hospitali Kuu ya Kenyatta jijini...
- by adminleo
- March 21st, 2018
Bodi ya KNH imeshindwa na kazi, nyingine iundwe, kamati yapendekeza
[caption id="attachment_3287" align="aligncenter" width="800"] Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge kuhusu Afya, Bi Sabina Chege. Picha/...
- by adminleo
- March 16th, 2018
Koros ashuku alitolewa kafara
Na LUCY KILALO AFISA Mkuu Msimamizi wa Hospitali Kuu ya Kenyatta aliyetumwa kwa likizo ya lazima, ameelezea tashwishi kuhusu masaibu...
- by adminleo
- March 11th, 2018
Wagonjwa KNH kuanza kuwekewa vibandiko
Na ELIZABETH MERAB HOSPITALI Kuu ya Kenyatta (KNH) inatarajiwa kuhakikisha kuwa wagonjwa wote wanawekwa vibandiko vya majina yao muda...
- by adminleo
- March 8th, 2018
KNH yarudisha kazini madaktari iliyowasimamisha kazi
Na BERNARDINE MUTANU HOSPITALI ya Kenyatta (KNH) Alhamisi ilibatilisha barua za kuwasimamisha kazi madaktari wawili walio katika mafunzo...