Tag: MAHARI
- by adminleo
- October 16th, 2018
Amuua baba yake kwa kumnyima kondoo wa kulipa mahari
TITUS OMINDE na STEPHEN MUNYIRI POLISI wa eneo la Eldoret Mashariki wamemkamata mwanaume mwenye umri wa miaka 28 ambaye anashukiwa...
- by adminleo
- August 7th, 2018
Polo atimuliwa na mahari yake ya kuku
Na LEAH MAKENA Irunduni, Tharaka POLO wa hapa nusura achapwe na mashemeji alipowapelekea kuku wawili kama mahari siku chache baada ya...
- by adminleo
- July 9th, 2018
Wito kwa jamii ya Wakamba iitishe matangi ya maji kama mahari
Na PIUS MAUNDU WAZIRI wa Maji katika Kaunti ya Makueni, Bw Robert Kisyula, ameomba jamii ya Wakamba itafakari upya utamaduni wake kuhusu...
- by adminleo
- May 21st, 2018
Mbabazi akataa mahari kutoka kwa Ramaphosa
Kampala UGANDA ALIYEKUWA waziri mkuu wa Uganda na mgombeaji wa urais Amama Mbabazi, amekataa mahari kutoka kwa familia ya Rais wa Afrika...
- by adminleo
- April 9th, 2018
Gharama hii ya harusi na mahari inaogofya vijana kuasi ukapera – Duale
Na GALGALO BOCHA KIONGOZI wa wengi bungeni Aden Duale amelalamikia gharama kubwa ya harusi na mahari za jamii ya waislamu kuwa chanzo...
- by adminleo
- March 16th, 2018
Mashemeji wamtaka alipe mahari kwa kurithi mke baada ya mume kuaga
Na TOBBIE WEKESA AHERO, KISUMU MAKALAMENI kutoka hapa waliwashangaza wakazi walipomdai polo mahari kwa kumrithi dada yao baada ya...