Tag: MASHAIRI
- by adminleo
- February 10th, 2020
Pigo kwa ushairi mlumbi maarufu Shamte akifariki
MISHI GONGO na HASSAN MUCHAI ULIMWENGU wa ushairi unaomboleza kifo cha mshairi mkongwe Abdallah Ali Shamte (pichani kushoto),...
- by adminleo
- February 5th, 2020
MSHAIRI WETU: Joshua Anyona almaarufu ‘Malenga Shupavu’
Na CHRIS ADUNGO USHAIRI ndiyo njia nyepesi zaidi ya kuwasilisha ujumbe kuhusu masuala yanayomzunguka mwanadamu na maisha...
- by adminleo
- July 29th, 2019
SARATANI WATUTAKIANI?
NA NEHEMIAH OMUKONYA Ninaandika, chozi likinidondoka, Nahuzunika, wapendwa tukiwazika, Hapa nataka, 'jua tutavyoepuka, Saratani! Tukupe...
- by adminleo
- April 6th, 2019
SOKOMOKO: Kila la heri wenzangu
MKUSANYIKO wa mashairi Jumamosi, Aprili 6, 2019. Kila heri wenzangu Elimu ndiyo maisha, kwetu sisi wanadamu,Elimu huburudisha, akikufunza...
- by adminleo
- March 16th, 2019
SOKOMOKO: Penzi lianzapo kufa
KWANZA mawasiliano, kasi yake hupunguwa, Hayawi masemezano, ja mwanzo yalivyokuwa, Hata soga na vigano, hukoma pasi kujuwa, Penzi...
- by adminleo
- November 21st, 2018
SHAIRI: Ukapera siachi, muhibu sipati
Na FELIX GATUMO NAAMUA kwa hiari, kutoasi ukapera, Mahaba kwangu kwaheri, sitaki tena hasara, Akili yameathiri, yamenifyonza...
- by adminleo
- April 18th, 2018
SHAIRI: Ukihitaji habari, tafuta Taifa Leo
Na KULEI SEREM Gazeti la Kiswahili, halina mapendeleo, Nazungumzia lili, hili la TAIFA LEO, Gazeti lenye ukweli, wa habari...
- by adminleo
- April 8th, 2018
SHAIRI: Athari za vileo na mihadarati
Na KULEI SEREM Koti langu ninavua, ili nipate kunena, Mwili wangu unaloa, japo mie sijanona, Ulimi wanichochea, nina neno kwa...
- by adminleo
- April 2nd, 2018
SHAIRI: Ushairi tujifunze, tupate kuumaizi
Na KULEI SEREM Istilahi za shairi, zimepangwa kwa mpororo, Mishororo ni mistari, kama kamba na nyororo, Wengi wanatahadhari, ila ni...