Tag: nairobi
- by T L
- November 8th, 2021
Kaunti ya Nairobi yaanzisha mfumo mpya wa kulipia huduma
Na COLLINS OMULO WAKAZI wa Nairobi wataanza kutumia mfumo mpya wa kulipia huduma za Kaunti ya Nairobi ulioanzishwa Jumamosi. Maafisa...
Mchakato kusaka Naibu Gavana wa Nairobi waanza
Na COLLINS OMULO JUHUDI za kumtafuta yule atakayehudumu kama Naibu Gavana katika Kaunti ya Nairobi zinaendelea kushika kasi, huku Bi Ann...
Wakazi wa Nairobi walia Krismasi imekuwa ‘kavu’
Na SAMMY WAWERU Mabustani na majumba ya maduka ya jumla mbalimbali jijini Nairobi na viunga vyake siku ya Krismasi yalikuwa yenye...
Badi aapa kuwakabili wanaotatiza kazi jijini
Na WANDERI KAMAU MKURUGENZI Mkuu wa Idara ya Huduma za Jili la Nairobi (NMS), Meja Jenerali Mohamed Badi, amesema anafahamu mwenyewe...
Utatupwa ndani miezi 6 ukinaswa ukitema mate ovyo jijini Nairobi
COLLINS OMULO na JAMES MURIMI MTU yeyote atakayepatikana akitema mate kwenye barabara ama kupenga kamasi bila kutumia kitambaa jijini...
- by adminleo
- May 10th, 2020
JUBILEE: Tuju athibitisha kikao cha Rais Kenyatta na maseneta Ikuluni Jumatatu
Na CHARLES WASONGA KATIBU Mkuu wa Jubilee Raphael Tuju amethibitisha kuwa maseneta wa chama hicho wamealikwa na Rais Uhuru Kenyatta kwa...
- by adminleo
- April 23rd, 2020
Jiji la Nairobi lingali chafu chini ya usimamizi mpya
Na CHARLES WASONGA ATHARI za hatua ya majuzi ya Gavana wa Kaunti ya Nairobi Mike Sonko kudinda kuidhinisha mgao wa Sh15 bilioni kwa...
- by adminleo
- April 3rd, 2020
CORONA: Huenda serikali ikafunga jiji la Nairobi
Na JUMA NAMLOLA SERIKALI Alhamisi ilitoa ishara kuwa huenda ikalazimika kufunga shughuli zote katika kaunti ya Nairobi, kama njia ya...
- by adminleo
- March 18th, 2020
Ofisi ya ustawishaji jiji la Nairobi yabuniwa
Na SAMMY WAWERU MAJUKUMU muhimu ya serikali ya Kaunti ya Nairobi yameelekezwa kwa ofisi mpya na maalum iliyobuniwa ili kustawisha jiji...
- by adminleo
- February 26th, 2020
Serikali kuu kusimamia Nairobi hadi 2022
Na JAMES KAHONGEH MAELEWANO kati ya Gavana wa Nairobi Mike Sonko na Serikali Kuu kuhusu usimamizi wa kaunti hiyo yamepangiwa kuanza...
- by adminleo
- February 26th, 2020
Utwaaji wa serikali ya Nairobi huenda usilete nafuu
Na BENSON MATHEKA HATUA ya serikali ya kitaifa ya kutwaa majukumu muhimu ya serikali ya kaunti ya Nairobi huenda isilete mabadiliko...
- by adminleo
- February 23rd, 2020
Sonko atimua kaimu katibu
Na COLLINS OMULO GAVANA wa Nairobi anayekabiliwa na kesi kortini, Mike Sonko amemwachisha kazi Kaimu Katibu wa Kaunti, Bw Leboo...