• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 4:31 PM

NTSA yafunga mtandao wa leseni kwa shule za udereva

NA WINNIE ONYANDO MAMLAKA ya Kitaifa ya Uchukuzi na Usalama Barabarani (NTSA) imefunga mtandao unaoruhusu usajili upya, utoaji wa leseni...

Agnes Odhiambo ateuliwa mkuu wa NTSA

Na CHARLES WASONGA WIKI hii wabunge wanawake walilalama kwamba jinsia hiyo inadhulumiwa baada ya Seneta wa Nakuru Susan Kihika...

Maafisa wa NTSA wanaoshukiwa kuhusika kwa mauaji ya DusitD2 waachiliwa

Na RICHARD MUNGUTI MAAFISA watano wa Mamlaka ya Kitaifa ya Usalama wa Uchukuzi (NTSA) waliotiwa nguvuni na kuzuiliwa kuhusishwa na...

Vyama 7 vya matatu vyapigwa marufuku na NTSA

Na BERNARDINE MUTANU Mamlaka ya Uchukuzi na Usalama (NTSA) imefutilia mbali usajili wa vyama saba vya magari ya uchukuzi wa...

NTSA kuwapa wenye magari vitabu vya kidijitali kuzima wizi

Na BERNARDINE MUTANU Mamlaka ya Uchukuzi na Usalama Barabarani (NTSA) imetangaza mipango ya kuanzisha vitabu vya kielektroniki vya...

NTSA yaanzisha vituo vya mapumziko kwa madereva

NA CECIL ODONGO MAMLAKA ya Kitaifa ya usalama barabarani(NTSA) kwa ushirikiano na mashirika ya kibinafsi imeanzisha vituo 28 ambavyo...

Omtatah afika kortini kupinga sheria mpya kwa madereva

Na RICHARD MUNGUTI MWANAHARAKATI Okiya Omtatah amewasilisha kesi mahakamani kupinga kuzinduliwa kwa maagizo mapya kuhusu madereva. Bw...

Pendekezo magari ya masafa marefu yawe na madereva wawili

Na BERNARDINE MUTANU Pendekezo limetolewa ili magari ya umma yawe na madereva wawili ikiwa yanasafiri mwendo mrefu, zaidi ya kilomita...

Madereva wote kulipa Sh5,000 kupokea mafunzo mapya

Na BERNARDINE MUTANU MADEREVA wote wa matatu, magari ya uchukuzi umma na malori ya kibiashara wanastahili kurejea darasani kwa mafunzo...