Tag: pombe
- by adminleo
- September 11th, 2019
SENSA: Hofu ya wanasiasa Mlima Kenya
Na MWANGI MUIRURI HAIJULIKANI hasa ni kwa msingi gani ambapo wanasiasa wengi wa Mlima Kenya hukesha wakilalamika kuwa “idadi zetu -...
- by adminleo
- September 11th, 2019
Msako mkali wa pombe haramu wafanywa Githurai
Na SAMMY WAWERU MSAKO mkali dhidi ya pombe haramu katika mtaa wa Githurai 44, Kaunti ya Nairobi na Githurai 45 umeanzishwa. Shughuli...
- by adminleo
- August 27th, 2019
Afisa wa sensa anaswa kwa kuiba pombe ya watalii
Na WAANDISHI WETU SHUGHULI ya kuhesabu watu iliendelea kukumbwa na visanga Jumatatu huku mmoja wa maafisa wa sensa akinaswa kwa kuwaibia...
- by adminleo
- August 14th, 2019
Saba wasakwa eneo la Makwa kwa kutajwa utengenezaji pombe haramu
Na LAWRENCE ONGARO WATENGENEZAJI saba wa pombe haramu eneo la Makwa, Gatundu Kusini wanasakwa na polisi ili wafikishwe mahakamani na...
- by adminleo
- July 30th, 2019
Demu aangua kilio alipokosa wa kumnunulia bia
Na JOHN MUSYOKI EMBU MJINI DEMU mmoja mjini hapa aliangua kilio wanaume walipokataa kumrushia mistari ya mapenzi na kumnunulia pombe....
- by adminleo
- July 25th, 2019
Faini ya Sh440,000 kwa kubugia pombe wakati usiofaa
Na MWANGI MUIRURI WATU 11 walitozwa faini ya Sh440,000 na mahakama ya Kaunti ya Murang’a baada ya kukiri kushiriki biashara ya pombe...
- by adminleo
- July 22nd, 2019
Wauzaji pombe taabani kwa kukwepa ushuru wa 4.5m
Na RICHARD MUNGUTI WAUZAJI wa pombe walishtakiwa Jumatatu kwa kukwepa kulipa ushuru wa sh4.5 milioni. Margaret Waithera Kariuki,...
- by adminleo
- July 16th, 2019
SIHA: Unywaji holela wa pombe unasababisha madhara haya…
Na MARGARET MAINA [email protected] LICHA ya baadhi ya watu kuzoea pombe kama njia ya kujiburudisha, ina madhara mengi kwa...
- by adminleo
- June 5th, 2019
Chuma ki motoni kwa maafisa wa serikali walevi
Na MWANGI MUIRURI KAMISHNA wa Kaunti ya Murang’a, Mohammed Barre ameagiza misako itekelezwe dhidi ya watumishi wa umma ambao...
- by adminleo
- June 2nd, 2019
Ajiua kwa kunyimwa hela za mvinyo na mkewe
Na MWANGI MUIRURI KIJANA wa miaka 39 katika kaunti ya Murang’a amejitoa uhai baada ya kupandwa na hasira ya kunyimwa pesa za kununua...
- by adminleo
- May 29th, 2019
MJADALA: Je, ni vyema mwanamke kubugia pombe?
Na MWANGI MUIRURI ROSE Muriithi ambaye ni mtaalamu wa masuala ya kijamii anasisitiza kuwa hakuna shida na mwanamke kubugia pombe, bora...
- by adminleo
- May 23rd, 2019
NDOA: Sababu ya mume na mke kuandamana kwa baa kila siku
NA MWANGI MUIRURI KWA miaka mitano sasa, Bw James Kiai na mkewe (pichani) katika Kaunti ya Murang’a wamekuwa wakionekana ndani ya baa...