• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 9:15 PM

Ruto, Raila wakoroga chama cha Kingi PAA

MAUREEN ONGALA na ALEX KALAMA GAVANA wa Kaunti ya Kilifi, Bw Amason Kingi, anakabiliwa na kibarua kigumu cha kuamua mwelekeo ambao chama...

Watavuruga hesabu za Raila, Ruto?

Na LEONARD ONYANGO MUUNGANO wa viongozi wa Vuguvugu la Umoja wa Mlima Kenya (MKUF) na vinara wa One Kenya Alliance (OKA) unatishia...

Mada nzito Raila, Ruto wanakwepa

Na LEONARD ONYANGO VIGOGO wa kisiasa wanaopigania urais 2022, Naibu Rais William Ruto na Kinara wa ODM Raila Odinga, wanaonekana kukwepa...

Wanaopiga jeki Raila katika safari ya ikulu

WANDERI KAMAU na LEONARD ONYANGO MKONO FICHE WA serikali unaonekana kuendesha kampeni za kiongozi wa ODM Raila Odinga. Ingawa Bw Odinga...

Kuna hatari ya Raila ‘kujikwaa’ kisiasa kwa kumtetea Rais

Na WANDERI KAMAU KUMEIBUKA hofu huenda kutajwa kwa Rais Uhuru Kenyatta kuwa miongoni mwa watu walioficha mabilioni ya fedha ng’ambo...

Raila akanyagia ‘tosha’ ya urithi wa Joho

VALENTINE OBARA na ANTHONY KITIMO KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, alijiepusha kumwidhinisha mwanasiasa yeyote anayepanga...

Jeshi la Ruto lapasuka ngome ya Raila

Na RUSHDIE OUDIA MZOZO mkali umeibuka kati ya makundi yanayompigia debe Naibu Rais William Ruto katika ngome za kisiasa za Kiongozi wa...

JAMVI: ODM inacheza tu abrakadabra za danganyatoto, ukweli wajulikana

Na CHARLES WASONGA SASA imedhihirika wazi kwamba kiongozi wa ODM Raila Odinga amejipata katika njiapanda kuhusu iwapo awanie urais 2022...

Dkt Ruto akiungana na Raila, kipi kitarajiwe Mlima Kenya 2022?

Na MWANGI MUIRURI HABARI kuwa Naibu Rais Dkt William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga wanaweza wakaungana kusaka urais katika...

Uhuru asukuma Ruto, Raila kona moja

WANDERI KAMAU na BENSON MATHEKA HATUA ya Rais Uhuru Kenyatta kuonekana kupendelea muungano mpya wa 'One Kenya Alliance' imewasukuma...

Uhuru ataweza Raila na Ruto?

Na BENSON MATHEKA SIKU moja baada ya viongozi wa chama cha ODM kulalama kuwa kuna njama ya Rais Uhuru Kenyatta kumsaliti kiongozi wao Bw...

Sihitaji BBI kuingia Ikulu, Raila asisitiza

WYCLIFFE NYABERI na VALENTINE OBARA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga amejipiga kifua na kusema hahitaji msaada kupitia kwa...