Tag: shangazi akujibu
- by adminleo
- February 18th, 2020
SHANGAZI AKUJIBU: Amezidi kwa ngoma hata nikiugua hanipi nafasi!
Na SHANGAZI SHANGAZI natumai wewe ni mzima. Mimi pia ni mzima, nashukuru. Nina mpenzi tunayependana sana lakini ana tatizo moja tu....
- by adminleo
- February 14th, 2020
SHANGAZI AKUJIBU: Sitaki kumueleza nina mke akaja akanitoroka!
Na SHANGAZI KWAKO shangazi. Mimi nina mke na tuna mtoto. Kuna mwanamke mwingine ambaye nampenda naye pia ameniambia ananipenda....
- by adminleo
- February 7th, 2020
SHANGAZI AKUJIBU: Baba halisi anadai mtoto niliyelea miaka 3, ni haki?
Na SHANGAZI KWAKO shangazi. Nilioa mwanamke ambaye alikuwa amezaa mtoto na mpenzi wake wa awali. Nilimkubali pamoja na mtoto wake na...
- by adminleo
- January 27th, 2020
SHANGAZI AKUJIBU: Mbona mpenzi alinikana baada ya kuhamia mji tofauti?
Na SHANGAZI HABARI zako shangazi? Mwanamke aliyekuwa mpenzi wangu alihamishwa kikazi hadi mji tofauti. Nafikiri alibadilisha ghafla...
- by adminleo
- January 24th, 2020
SHANGAZI AKUJIBU: Nasubiri kupata kazi kwanza kisha nitafute mpenzi
Na SHANGAZI SHIKAMOO shangazi! Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho katika chuo kikuu. Mimi sina mpenzi ingawa wengi wa marafiki zangu...
- by adminleo
- January 22nd, 2020
SHANGAZI AKUJIBU: Umri unazidi kuyoyoma, nitampata wapi wa kuoa?
Na SHANGAZI HABARI zako shangazi? Nakuja kwako na matumaini kwamba utanisaidia. Sijawahi kuwa na mpenzi maishani. Sasa nina umri wa...
- by adminleo
- January 8th, 2020
SHANGAZI AKUJIBU: Tuliyeachana kisha tukarudiana hataki tupimwe
Na SHANGAZI VIPI shangazi? Nilikuwa na mpenzi lakini akaniacha akashikana na mwanamume mwingine. Uhusiano wao umechukua miezi mitatu tu...
- by adminleo
- January 4th, 2020
SHANGAZI AKUJIBU: Ukatili wa mpenzi kunitema na kuhama wanishtua
Na SHANGAZI HUJAMBO Shangazi? Nimekuwa nikiishi na mpenzi wangu ambaye tumezaa mtoto pamoja. Amekuwa akiahidi kunioa lakini kitendo...
- by adminleo
- January 2nd, 2020
SHANGAZI AKUJIBU: Wivu kupindukia umefanya wapenzi wanitoroke
Na SHANGAZI SHIKAMOO Shangazi! Mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 27. Nina tatizo fulani kuhusu nafsi yangu. Nina wivu sana na hali...
- by adminleo
- December 30th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Jamaa wa mke wametufilisisha, sijui nifanye nini
Na SHANGAZI KWAKO shangazi. Nahitaji ushauri wako tafadhali. Nimeoa kutoka kwa familia maskini. Mimi na mke wangu tunafanya kazi lakini...
- by adminleo
- December 7th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Kisomo cha mpenzi wangu kinanitia kiwewe
Na SHANGAZI VIPI shangazi? Nina mwanamke mpenzi wangu ambaye anasoma chuo kikuu. Mimi sijasoma kama yeye, nilifika darasa la nane tu....
- by adminleo
- December 6th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Demu wangu ghafla ameanza kuwa baridi sana
Na SHANGAZI VIPI shangazi? Nimekuwa na msichana mpenzi wangu kwa miaka miwili sasa na nampenda kwa dhati. Hata hivyo, katika miezi...