Tag: taifa leo
- by T L
- November 10th, 2021
#KUMEKUCHA: Habari, makala na picha kuhusu uzinduzi wa Taifa Leo jipya
[caption id="attachment_89286" align="alignnone" width="787"] Bw James Wanjagi Mutwiri -mwalimu mbobevu, mwandishi chipukizi wa Fasihi...
Mombasa Cement na NMG zashirikiana kuinua elimu Kilifi kupitia mradi wa NiE
Na WACHIRA MWANGI SHULE kadhaa katika Kaunti ya Kilifi zimepongeza ushirikiano kati ya Shirika la Habari la Nation (NMG) na Kampuni ya...
- by adminleo
- February 19th, 2020
Simanzi kuu kufuatia kifo cha aliyekuwa mwandishi wa ‘Taifa Leo’
Na Charles Wanyoro SIMANZI imegubika jumuiya ya waandishi baada ya mmoja wao kutoka Meru, Bw Darlington Manyara, 29, kuaga dunia...
- by adminleo
- December 11th, 2019
Afisa wa ‘Taifa Leo’ ashinda tuzo ya kimataifa
Na WANDERI KAMAU MMOJA wa wasimamizi wakuu wa gazeti la Taifa Leo Bw Nuhu Bakari ameibuka mshindi kwenye tuzo za kimataifa kuhusu...
- by adminleo
- November 6th, 2019
Aliyekuwa mhariri wa Taifa Leo kuzikwa Alhamisi
Na MARY WANGARI ALIYEKUWA wakati mmoja Mhariri wa gazeti la Taifa Leo, Bw George Mwangi Migui atazikwa Alhamisi, Novemba 7, nyumbani...
- by adminleo
- September 7th, 2019
NiE: Base Titanium kufadhili shule 21 magazeti ya Taifa Leo
Na FARHIYA HUSSEIN SHULE 21 kutoka Kaunti ya Kwale zitanufaika kupitia mradi wa Newspapers in Education (NiE) unaolenga kunoa wanafunzi...
- by adminleo
- August 12th, 2019
Gazeti la Taifa Leo lachupa hadi nafasi ya 3 kwa usomaji
NA MWANDISHI WETU GAZETI la Taifa Leo limeibuka kuwa mojawapo wa magazeti matatu yanayosomwa na watu wengi zaidi nchini, huku likiyapiku...
- by adminleo
- January 1st, 2019
2018: Habari 10 zilizovutia wasomaji katika tovuti ya Taifa Leo
NA FAUSTINE NGILA LICHA ya mwaka wa 2018 kukumbwa na mawimbi ya sakata nyingi za ufisadi, tukio la kiongozi wa ODM kujiapisha kuwa...
- by adminleo
- October 2nd, 2018
EACC: Gazeti la Taifa Leo linaenziwa kwa kuchapisha taarifa za uhakika
Na CECIL oDONGO GAZETI La Taifa Leo limeibuka la tatu kama gazeti linaloenziwa na kusomwa zaidi nchini nyuma ya Gazeti la Nation na...
- by adminleo
- April 18th, 2018
SHAIRI: Ukihitaji habari, tafuta Taifa Leo
Na KULEI SEREM Gazeti la Kiswahili, halina mapendeleo, Nazungumzia lili, hili la TAIFA LEO, Gazeti lenye ukweli, wa habari...