Makala                                                
                                            
                                        SHANGAZI AKUJIBU: Anaposti picha za mademu mitandaoni!
 
                                                    SWALI: Shikamoo shangazi. Kila siku mpenzi wangu anaposti picha wanawake kwenye Instagram na TikTok. Nikimuuliza, anasema ni ‘content’. Je, huu ni mapenzi au utani?
Jibu: Huyo anatafuta likes, si mapenzi. Mwanaume anayekupenda hatakufanya uhisi kama ‘content’. Mwambie achague: awe influencer au awe mpenzi wako.
IMETAYARISHWA NA WINNIE ONYANDO