Shangazi Akujibu
Mke wangu asema sijui kumuonyesha mapenzi
Wanandoa waliofunga harusi. Picha|Maktaba
SWALI: Shikamoo shangazi. Mke wangu anasema siko romantic na sijui kuonyesha mapenzi. Anadai mimi ni millennial. Je, haya mambo ya maua na picha mitandaoni ndiyo kipimo cha mapenzi siku hizi?
Jibu: Mapenzi si maua wala ‘selfie’ mitandaoni. Ni kuheshimiana, kusaidiana na kuonyesha upendo katika vitendo. Mwambie herufi R ya romantic isiishie kwenye roses, bali responsibilities.
IMETAYARISHWA NA WINNIE ONYANDO