Shangazi Akujibu
SHANGAZI AKUJIBU: Baba mtoto hataki kuchangia hata shilingi moja kwa ajili ya malezi
Watoto wakifurahia. PICHA|PEXELS
SWALI: Kwako shangazi. Mume wangu wa zamani hataki kujukumika. Kila nikimtafuta kuhusu masuala ya malezi ya watoto wetu, anatoa vijisababu. Ninaomba ushauri.
Jibu: Huyo si baba—ni mzazi wa kibiolojia tu. Usipoteze nguvu kumlilia. Fuata sheria kwani mtoto wako anastahili malezi, si visingizio. Wewe simama imara kwa ajili yake.
IMETAYARISHWA NA WINNIE ONYANDO