Shangazi Akujibu

SHANGAZI AKUJIBU: Halali kitandani tukikosana

Na SHANGAZI November 13th, 2025 Kusoma ni dakika: 1

SWALI: Hujambo shangazi. Mume wangu anapenda kulala sebuleni kila tukigombana. Sasa amejizoesha mpaka anasema “nimezoea sofa.” Je, ndoa yetu itadumu?

Jibu: “Nimezoea sofa” si kauli ya ndoa thabiti. Zungumzeni chanzo cha migogoro kabla sofa iwe kitanda cha kudumu.

IMETAYARISHWA NA WINNIE ONYANDO