Shangazi Akujibu

SHANGAZI AKUJIBU: Hana haja nami

Na SHANGAZI December 25th, 2025 Kusoma ni dakika: 1

SWALI: Habari shangazi. Kuna huyo mwanadada nimemfisia sana. Nimejaribu kumkaribia ili numueleze hisia zangu ila naona hana haja nami kabisa. Nifanyeje.

Jibu: Hakuna haja ulazimishe kupendwa. Akikataa songa mbele, warembo wangali wengi.

IMETAYARISHWA NA WINNIE ONYANDO