Shangazi Akujibu
SHANGAZI AKUJIBU: Ma’ mkwe kiherehere tu anaingilia ndoa yetu sana
SWALI: Shikamoo shangazi, mama mkwe anaingilia ndoa yangu kila mara.
Jibu: Heshima ni muhimu, lakini mipaka pia. Ndoa ni ya wawili, wazazi ni washauri, sio wa kutoa maamuzi.
IMETAYARISHWA NA WINNIE ONYANDO