Shangazi Akujibu

SHANGAZI AKUJIBU: Mpenzi hutaka tushiriki hata nikiwa nimechoka

Na SHANGAZI October 27th, 2025 Kusoma ni dakika: 1

SWALI: Shikamoo shangazi. Kila tukipatana, ampenzi wangu nataka tushiriki mapenzi hata kama sina hamu. Nikikataa anasema simjali. Nifanyeje?

Jibu: Hilo si mapenzi, ni ukatili. Tendo la ndoa ni makubaliano, si amri. Mweleze wazi kuwa mwili wako ni wako, na hakuna anayepaswa kukulazimisha. Kama hataki kuelewa, huyo si mpenzi, ni mnyanyasaji.

IMETAYARISHWA NA WINNIE ONYANDO