Shangazi Akujibu

SHANGAZI AKUJIBU: Mrembo anapenda onja onja, nashuku sitamtosheleza kitandani baada ya kuoana

Na SHANGAZI February 4th, 2026 Kusoma ni dakika: 1

SWALI: Kwako shangazi. Nimekuwa na mpenzi kwa miaka mitatu na ninaamini anaweza kuwa mke mzuri. Lakini anapenda sana kulamba asali na nahisi nikimuoa nitashindwa kumtosheleza. Nifanyeje?

Jibu: Kila mtu ana maumbile yake. Hayo ni maumbile ya mpenzi wako na hawezi kubadilika. Kwa hivyo ukiamua kumuoa itabidi utafute namna ya kukidhi haja yake. Kazi kwako.

IMETAYARISHWA NA WINNIE ONYANDO