Shangazi Akujibu
SHANGAZI AKUJIBU: Mume amezoeana na mjakazi, ninawashuku!
Mjakazi akisafisha huku mwanaume akiwa ameketi akisoma gazeti. Picha|Maktaba.
SWALI: Kila mara mume wangu anacheka na mjakazi wetu na hata kutaniana kana kwamba mimi sipo. Nimeanza kuhisi kuna jambo kati yao. Nianzeje kuchukua hatua bila kuonekana mwenye wivu?
Jibu: Usifanye fujo, lakini usikae kimya. Onyesha mipaka kwa hekima. Mwanaume mwenye nidhamu anajua mipaka.
IMETAYARISHWA NA WINNIE ONYANDO