Shangazi Akujibu

SHANGAZI AKUJIBU: Nina mke kisirani balaa!

Na SHANGAZI November 5th, 2025 Kusoma ni dakika: 1

SWALI: Vipi shangazi. Nimeolewa kwa miaka mitatu sasa ila sijaona maana ya ndoa. Nilidhani mke wangu angenipa furaha maishani ila najuta kumuoa kwani tunagombana karibu kila siku. Naomba ushauri wako.

Jibu: Wakati mwingine ni vyema wapenzi au wanandoa kukubali ukweli kuwa hawawezi kuwa pamoja kisha kuachana kwa amani. Mweleze mke wako unavyohisi na pia umshauri kuhusu talaka ikiwa unahisi huwezi kumvumilia zaidi.

IMETAYARISHWA NA WINNIE ONYANDO