Shangazi Akujibu
SHANGAZI AKUJIBU:Kijana jamala wa ‘Gym’ sasa animezea mate
SWALI: Vipi Shangazi. Nimependa mhudumu wa gym ninakofanya mazoezi. Kila siku ananisifu na kweli naona tamaa machoni mwake. Hata ananiambia nikuje mafunzo ya kipekee. Nimechanganyikiwa.
Jibu: Baadhi yao hufanya kazi ya kusifu wateja ili warudi kesho. Usichukue maneno yake kama ishara ya mapenzi. Kaa macho.
IMETAYARISHWA NA WINNIE ONYANDO