• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 6:50 AM
Bondia Andiego apigwa breki safari ya Olimpiki

Bondia Andiego apigwa breki safari ya Olimpiki

Na CHARLES ONGADI

JUHUDI za bondia wa kike Elizabeth Andiego kufuzu kushiriki Michezo ya Olympiki zimepigwa breki kali baada ya kushindwa na Stonkute Gabrielle wa Lithuania kwa wingi wa alama katika Mashindano ya Dunia yanayoendelea nchini Italia.

Andiego anayecheza katika uzani wa Middle, aliwekewa matumaini makubwa na mashabiki wengi nchini.

Lakini matokeo ya Jumatano yaliiacha Kenya na mabondia watatu kati ya sita waliowakilisha taifa katika mashindano hayo.

Majaji wote watano walimpatia ushindi Gabrielle.

  • Tags

You can share this post!

Arati aamriwa afike kortini, Kisii na Nyamira zikiendelea...

Ndondi: Nahodha wa Kenya apigwa ‘stop’ juhudi...

T L