TAIFA LEO Logo
  • Habari
    • Habari za Kitaifa
    • Habari za Kaunti
    • Kimataifa
  • Siasa
  • Maoni
  • Makala
    • Afya na Jamii
    • Lugha, Fasihi na Elimu
    • Akili Mali
    • Jamvi La Siasa
    • Shangazi Akujibu
    • Bambika
    • Pambo
    • Dimba
  • Dondoo
  • Bi Taifa
  • Mashairi
  • Michezo
  • NIE Shuleni
NiE Shuleni

Matunda S.A Secondary School, Lukuyani

October 22nd, 2025 Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Upili ya Matunda S.A walipokuwa wakihamasishwa kuhusu manufaa ya mradi wa NiE unaolenga kuwapiga jeki katika safari ya elimu. PICHA|CHRIS ADUNGO
Hawa ni baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Upili ya Matunda SA waliojishindia mashati-tao ya Taifa Leo baada ya kujibu maswali ya chemshabongo ipasavyo siku ya kuzinduliwa rasmi kwa mradi wa NiE. PICHA| CHRIS ADUNGO
Wanafunzi wakizamia uhondo wa picha, habari na makala wakati wa hamasisho la mradi wa Newspapers in Education (NiE). PICHA| CHRIS ADUNGO
Afisa wa mauzo wa Nation Media Group (NMG), Bw Francis Ambechi, akiwahamasisha wanafunzi wa Shule ya Upili ya Matunda S.A kuhusu manufaa ya kuwa wasomaji wa mara kwa mara wa magazeti. PICHA| CHRIS ADUNGO
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Upili ya Matunda S.A wakinyanyua mikono kuwania fursa ya kujibu maswali ya chemshabongo wakati wa hamasisho la mradi wa NiE. PICHA| CHRIS ADUNGO
Baadhi ya viranja wa Shule ya Upili ya Matunda S.A walipopigwa picha ya pamoja baada ya hamasisho la mradi wa NiE kukamilika. PICHA| CHRIS ADUNGO
Students walk from the assembly hall back to their classrooms after the activation. They were taken through the academic content published in the Daily Nation and Taifa Leo newspapers. PHOTO| CHRIS ADUNGO| NATION
Matunda SA Secondary School Principal, Ms Kivayiru Luvanda, gives her address during the launch of the NiE programme. PHOTO| CHRIS ADUNGO| NATION
TAIFA LEO Logo

Mitandao ya kijamii

Maarufu sana

Sababu za Trump kumtuma makamu wake kwa Ruto

November 9th, 2025

Jowi! Ni ng’ombe 100 Kalonzo akirudi kutoa heshima za mwisho kwa Raila Bondo

November 7th, 2025

Chama cha Sufuria chaundwa, chaomba kusajiliwa

November 6th, 2025

Usikose

SHANGAZI AKUJIBU: Nina ujauzito ila mpenzi wangu hataki mtoto

November 10th, 2025

Msanii Betty Bayo afariki akitibiwa saratani

November 10th, 2025

Shirika lazindua jukwaa kukabili unyanyasaji wa kijinsia mitandaoni

November 10th, 2025
Copyright © 2025 Nation Media Group. All rights reserved.