TAIFA LEO Logo
  • Habari
    • Habari za Kitaifa
    • Habari za Kaunti
    • Kimataifa
  • Siasa
  • Maoni
  • Makala
    • Afya na Jamii
    • Lugha, Fasihi na Elimu
    • Akili Mali
    • Jamvi La Siasa
    • Shangazi Akujibu
    • Bambika
    • Pambo
    • Dimba
  • Dondoo
  • Bi Taifa
  • Mashairi
  • Michezo
  • NIE Shuleni
NiE Shuleni

Matunda S.A Secondary School, Lukuyani

October 22nd, 2025 Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Upili ya Matunda S.A walipokuwa wakihamasishwa kuhusu manufaa ya mradi wa NiE unaolenga kuwapiga jeki katika safari ya elimu. PICHA|CHRIS ADUNGO
Hawa ni baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Upili ya Matunda SA waliojishindia mashati-tao ya Taifa Leo baada ya kujibu maswali ya chemshabongo ipasavyo siku ya kuzinduliwa rasmi kwa mradi wa NiE. PICHA| CHRIS ADUNGO
Wanafunzi wakizamia uhondo wa picha, habari na makala wakati wa hamasisho la mradi wa Newspapers in Education (NiE). PICHA| CHRIS ADUNGO
Afisa wa mauzo wa Nation Media Group (NMG), Bw Francis Ambechi, akiwahamasisha wanafunzi wa Shule ya Upili ya Matunda S.A kuhusu manufaa ya kuwa wasomaji wa mara kwa mara wa magazeti. PICHA| CHRIS ADUNGO
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Upili ya Matunda S.A wakinyanyua mikono kuwania fursa ya kujibu maswali ya chemshabongo wakati wa hamasisho la mradi wa NiE. PICHA| CHRIS ADUNGO
Baadhi ya viranja wa Shule ya Upili ya Matunda S.A walipopigwa picha ya pamoja baada ya hamasisho la mradi wa NiE kukamilika. PICHA| CHRIS ADUNGO
Students walk from the assembly hall back to their classrooms after the activation. They were taken through the academic content published in the Daily Nation and Taifa Leo newspapers. PHOTO| CHRIS ADUNGO| NATION
Matunda SA Secondary School Principal, Ms Kivayiru Luvanda, gives her address during the launch of the NiE programme. PHOTO| CHRIS ADUNGO| NATION
TAIFA LEO Logo

Mitandao ya kijamii

Maarufu sana

Trump asema Amerika imemkamata Rais Maduro wa Venezuela

January 3rd, 2026

Maresca ala makasi Chelsea

January 1st, 2026

Tanzania yaangukia kismati cha 16-bora AFCON baada ya miaka 45

January 1st, 2026

Usikose

MAONI: Ajabu Waafrika kuomba viongozi wao watekwe na Amerika kama Maduro?

January 8th, 2026

Gavana Nassir aajiri aliyekuwa mlinzi wa Raila kushauri kuhusu usalama

January 8th, 2026

MAONI: Utulivu ndani ya chama cha ODM utachukua muda

January 8th, 2026
Copyright © 2026 Nation Media Group. All rights reserved.