TAIFA LEO Logo
  • Habari
    • Habari za Kitaifa
    • Habari za Kaunti
    • Kimataifa
  • Siasa
  • Maoni
  • Makala
    • Afya na Jamii
    • Lugha, Fasihi na Elimu
    • Akili Mali
    • Jamvi La Siasa
    • Shangazi Akujibu
    • Bambika
    • Pambo
    • Dimba
  • Dondoo
  • Bi Taifa
  • Mashairi
  • Michezo
  • NIE Shuleni
  • ePaper
NiE Shuleni

Shule ya Bituyu FYM Comprehensive, Kimilili

February 10th, 2025 Wanafunzi wa Shule ya Bituyu FYM Comprehensive, Kimilili walivyochangamkia hamasisho la Elimu kupitia Magazeti, almaarufu Newspaper in Education (NiE).
Kikosi cha wanafunzi waliotumbuiza wenzao, walimu na wageni kwa nyimbo na mashairi wakati wa hamasisho la mradi wa Newspapers in Education (NiE).
Wanafunzi walipokuwa wakifuatilia matukio na mawasilisho kwa makini wakati wa hamasisho.
Baadhi ya walimu wa Shule ya Bituyu Comprehensive iliyoko Kimilili, Kaunti ya Bungoma, walipopigwa picha baada ya hamasisho la NiE kukamilika.
Wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Bituyu FYM waonea fahari mashati-tao ya Taifa Leo. PICHA| CHRIS ADUNGO
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi ya Bituyu FYM iliyoko Kimilili, Kaunti ya Bungoma, asoma Taifa Leo.
TAIFA LEO Logo

Mitandao ya kijamii

Maarufu sana

Viongozi wa Garissa waomba msamaha kwa mauaji Kitui

May 2nd, 2026

Mwisho wa ‘nganya’ wanukia korti ikipiga marufuku mapambo ya matatu

May 2nd, 2026

Gachagua alitimuliwa kuzima upinzani ndani ya serikali, mahakama yaambiwa

May 8th, 2026

Usikose

Wito serikali ihakikishe watoto wote wanapata elimu bila ubaguzi

May 9th, 2026

Polisi wachunguza madai shirika linahusika na ulanguzi, unyanyasaji wa watoto Mombasa

May 9th, 2026

Tshisekedi adokeza kuwania urais kwa muhula wa tatu

May 9th, 2026
Copyright © 2026 Nation Media Group. All rights reserved.