TAIFA LEO Logo
  • Habari
    • Habari za Kitaifa
    • Habari za Kaunti
    • Kimataifa
  • Siasa
  • Maoni
  • Makala
    • Afya na Jamii
    • Lugha, Fasihi na Elimu
    • Akili Mali
    • Jamvi La Siasa
    • Shangazi Akujibu
    • Bambika
    • Pambo
    • Dimba
  • Dondoo
  • Bi Taifa
  • Mashairi
  • Michezo
  • NIE Shuleni
  • ePaper
NiE Shuleni

Shule ya Bituyu FYM Comprehensive, Kimilili

February 10th, 2025 Wanafunzi wa Shule ya Bituyu FYM Comprehensive, Kimilili walivyochangamkia hamasisho la Elimu kupitia Magazeti, almaarufu Newspaper in Education (NiE).
Kikosi cha wanafunzi waliotumbuiza wenzao, walimu na wageni kwa nyimbo na mashairi wakati wa hamasisho la mradi wa Newspapers in Education (NiE).
Wanafunzi walipokuwa wakifuatilia matukio na mawasilisho kwa makini wakati wa hamasisho.
Baadhi ya walimu wa Shule ya Bituyu Comprehensive iliyoko Kimilili, Kaunti ya Bungoma, walipopigwa picha baada ya hamasisho la NiE kukamilika.
Wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Bituyu FYM waonea fahari mashati-tao ya Taifa Leo. PICHA| CHRIS ADUNGO
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi ya Bituyu FYM iliyoko Kimilili, Kaunti ya Bungoma, asoma Taifa Leo.
TAIFA LEO Logo

Mitandao ya kijamii

Maarufu sana

Maandamano yaliyopangwa Tanzania ya Saba Saba yakasirisha viongozi wa serikali

July 2nd, 2026

Nani atatemwa? Rais kulazimika kufuta mawaziri kadhaa wa kiume ili kuteua wa kike

July 2nd, 2026

Jinsi Gachagua anavyoiga Jomo Kenyatta, Moi na Jaramogi

July 5th, 2026

Usikose

Matonya: Waliniseti kuhusu kesi ya ubakaji Kenya

July 6th, 2026

Iran waapa watalipiza kisasi dhidi ya Amerika na Israel kwa kifo cha Ayatollah

July 6th, 2026

MAONI: Kalonzo ajitafutie kura la sivyo atarukwa kama 2013

July 6th, 2026
Copyright © 2026 Nation Media Group. All rights reserved.