TAIFA LEO Logo
  • Habari
    • Habari za Kitaifa
    • Habari za Kaunti
    • Kimataifa
  • Siasa
  • Maoni
  • Makala
    • Afya na Jamii
    • Lugha, Fasihi na Elimu
    • Akili Mali
    • Jamvi La Siasa
    • Shangazi Akujibu
    • Bambika
    • Pambo
    • Dimba
  • Dondoo
  • Bi Taifa
  • Mashairi
  • Michezo
  • NIE Shuleni
  • ePaper
NiE Shuleni

Shule ya Bituyu FYM Comprehensive, Kimilili

February 10th, 2025 Wanafunzi wa Shule ya Bituyu FYM Comprehensive, Kimilili walivyochangamkia hamasisho la Elimu kupitia Magazeti, almaarufu Newspaper in Education (NiE).
Kikosi cha wanafunzi waliotumbuiza wenzao, walimu na wageni kwa nyimbo na mashairi wakati wa hamasisho la mradi wa Newspapers in Education (NiE).
Wanafunzi walipokuwa wakifuatilia matukio na mawasilisho kwa makini wakati wa hamasisho.
Baadhi ya walimu wa Shule ya Bituyu Comprehensive iliyoko Kimilili, Kaunti ya Bungoma, walipopigwa picha baada ya hamasisho la NiE kukamilika.
Wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Bituyu FYM waonea fahari mashati-tao ya Taifa Leo. PICHA| CHRIS ADUNGO
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi ya Bituyu FYM iliyoko Kimilili, Kaunti ya Bungoma, asoma Taifa Leo.
TAIFA LEO Logo

Mitandao ya kijamii

Maarufu sana

Kampuni kumlipa mfanyakazi aliyenyanyaswa na bosi wake Sh1.3m

April 4th, 2026

Mvua kubwa na radi yatarajiwa kutwanga maeneo mengi Kenya Aprili nzima

April 2nd, 2026

Sifuna apambana vikali na Oburu

April 4th, 2026

Usikose

Osotsi ‘alipigwa Kisumu kwa kupinga Tutam’

April 9th, 2026

Ni upi mustakabali wa lugha za Kiafrika katika teknolojia na enzi ya leo ya Akili-Unde?

April 9th, 2026

Jinsi ya kulima nyasi ya Juncao

April 9th, 2026
Copyright © 2026 Nation Media Group. All rights reserved.