TAIFA LEO Logo
  • Habari
    • Habari za Kitaifa
    • Habari za Kaunti
    • Kimataifa
  • Siasa
  • Maoni
  • Makala
    • Afya na Jamii
    • Lugha, Fasihi na Elimu
    • Akili Mali
    • Jamvi La Siasa
    • Shangazi Akujibu
    • Bambika
    • Pambo
    • Dimba
  • Dondoo
  • Bi Taifa
  • Mashairi
  • Michezo
  • NIE Shuleni
NiE Shuleni

Shule ya Upili ya Boror, Salgaa, Nakuru

February 12th, 2025
Wanafunzi wakimakinikia matukio na mawasilisho mbalimbali wakati wa hamasisho la mradi wa Newspapers in Education (NiE) katika Shule ya Upili ya Boror iliyoko Salgaa, Kaunti ya Nakuru.
Afisa wa mauzo wa NMG, Bw Kennedy Mutinda (kushoto) akiongoza baadhi ya walimu wa Shule ya Upili ya Boror kusoma magazeti ya Taifa Leo. PICHA| CHRIS ADUNGO
Ilikuwa mbwembwe na hekaheka za kila sampuli miongoni mwa wanafunzi hawa wa Shule ya Upili ya Boror wakati wa hamasisho la NiE. PICHA| CHRIS ADUNGO
Wanafunzi wa Shule ya Upili ya Boror, Salgaa, Kaunti ya Nakuru wakiwania fursa ya kujibu maswali ya chemshabongo wakati wa hamasisho la NiE. PICHA| CHRIS ADUNGO
Wanafunzi wa Shule ya Upili ya Boror, Salgaa, Kaunti ya Nakuru wakisikiliza kwa makini mawasilisho mbalimbali wakati wa hamasisho la NiE. PICHA| CHRIS ADUNGO
Wanafunzi wa Shule ya Upili ya Boror iliyoko Salgaa, Kaunti ya Nakuru, wakifurahia kupigwa picha wakati wa hamasisho la mradi wa Newspapers in Education (NiE). PICHA| CHRIS ADUNGO
TAIFA LEO Logo

Mitandao ya kijamii

Maarufu sana

Ugonjwa wa Chikungunya: Dawa sasa kupulizwa mitaani

June 10th, 2025

Wezi waiba vikombe vitakatifu vya dhahabu katika kanisa la Pasta Ezekiel

June 6th, 2025

Matatu yagonga bodaboda na abiria kabla ya kuangukia mpita njia na kuwaua

June 8th, 2025

Usikose

Ruto alitumia siku 156 kati ya 1000 madarakani akiwa nje ya nchi

June 13th, 2025

Watafiti watoa matumaini mapya kwa wanawake wanaougua kichocho cha uzazi

June 13th, 2025

Kubweka bila kung’ata: Ufisadi wazidi licha ya Rais kuahidi kuuzima

June 13th, 2025
Copyright © 2025 Nation Media Group. All rights reserved.