TAIFA LEO Logo
  • Habari
    • Habari za Kitaifa
    • Habari za Kaunti
    • Kimataifa
  • Siasa
  • Maoni
  • Makala
    • Afya na Jamii
    • Lugha, Fasihi na Elimu
    • Akili Mali
    • Jamvi La Siasa
    • Shangazi Akujibu
    • Bambika
    • Pambo
    • Dimba
  • Dondoo
  • Bi Taifa
  • Mashairi
  • Michezo
  • NIE Shuleni
NiE Shuleni

Shule ya Upili ya Boror, Salgaa, Nakuru

February 12th, 2025
Wanafunzi wakimakinikia matukio na mawasilisho mbalimbali wakati wa hamasisho la mradi wa Newspapers in Education (NiE) katika Shule ya Upili ya Boror iliyoko Salgaa, Kaunti ya Nakuru.
Afisa wa mauzo wa NMG, Bw Kennedy Mutinda (kushoto) akiongoza baadhi ya walimu wa Shule ya Upili ya Boror kusoma magazeti ya Taifa Leo. PICHA| CHRIS ADUNGO
Ilikuwa mbwembwe na hekaheka za kila sampuli miongoni mwa wanafunzi hawa wa Shule ya Upili ya Boror wakati wa hamasisho la NiE. PICHA| CHRIS ADUNGO
Wanafunzi wa Shule ya Upili ya Boror, Salgaa, Kaunti ya Nakuru wakiwania fursa ya kujibu maswali ya chemshabongo wakati wa hamasisho la NiE. PICHA| CHRIS ADUNGO
Wanafunzi wa Shule ya Upili ya Boror, Salgaa, Kaunti ya Nakuru wakisikiliza kwa makini mawasilisho mbalimbali wakati wa hamasisho la NiE. PICHA| CHRIS ADUNGO
Wanafunzi wa Shule ya Upili ya Boror iliyoko Salgaa, Kaunti ya Nakuru, wakifurahia kupigwa picha wakati wa hamasisho la mradi wa Newspapers in Education (NiE). PICHA| CHRIS ADUNGO
TAIFA LEO Logo

Mitandao ya kijamii

Maarufu sana

Ufichuzi: Jinsi familia ya Kenyatta inavuna mabilioni kupitia dili ya Expressway

July 29th, 2025

Ndege yaanguka msituni Urusi na kuua abiria wote 50

July 24th, 2025

Wanafanya kama Azimio? Upinzani waanza kugawa mamlaka hata kabla ya 2027

July 28th, 2025

Usikose

Kenya yawekwa ‘orodha ya aibu’ ya mataifa yenye ukatili kwa raia

July 31st, 2025

Walevi wakaziwa katika sheria mpya za kuuza na kutumia pombe

July 30th, 2025

MAONI: Watanzania wahitaji kupambania demokrasia zaidi kuepuka kunyanyaswa na serikali

July 30th, 2025
Copyright © 2025 Nation Media Group. All rights reserved.