Habari
Habari za Kitaifa
Habari za Kaunti
Kimataifa
Siasa
Maoni
Makala
Afya na Jamii
Lugha, Fasihi na Elimu
Akili Mali
Jamvi La Siasa
Shangazi Akujibu
Bambika
Pambo
Dimba
Dondoo
Bi Taifa
Mashairi
Michezo
NIE Shuleni
NiE Shuleni
Shule ya Upili ya Boror, Salgaa, Nakuru
February 12th, 2025
Wanafunzi wakimakinikia matukio na mawasilisho mbalimbali wakati wa hamasisho la mradi wa Newspapers in Education (NiE) katika Shule ya Upili ya Boror iliyoko Salgaa, Kaunti ya Nakuru.
Afisa wa mauzo wa NMG, Bw Kennedy Mutinda (kushoto) akiongoza baadhi ya walimu wa Shule ya Upili ya Boror kusoma magazeti ya Taifa Leo. PICHA| CHRIS ADUNGO
Ilikuwa mbwembwe na hekaheka za kila sampuli miongoni mwa wanafunzi hawa wa Shule ya Upili ya Boror wakati wa hamasisho la NiE. PICHA| CHRIS ADUNGO
Wanafunzi wa Shule ya Upili ya Boror, Salgaa, Kaunti ya Nakuru wakiwania fursa ya kujibu maswali ya chemshabongo wakati wa hamasisho la NiE. PICHA| CHRIS ADUNGO
Wanafunzi wa Shule ya Upili ya Boror, Salgaa, Kaunti ya Nakuru wakisikiliza kwa makini mawasilisho mbalimbali wakati wa hamasisho la NiE. PICHA| CHRIS ADUNGO
Wanafunzi wa Shule ya Upili ya Boror iliyoko Salgaa, Kaunti ya Nakuru, wakifurahia kupigwa picha wakati wa hamasisho la mradi wa Newspapers in Education (NiE). PICHA| CHRIS ADUNGO