Brenda Nyamokami ndiye anatupambia ukurasa wetu leo.Yeye ni mwanafunzi wa uanahabari kutoka chuo Cha Mount Kenya. Anapenda kusafiri na...
Diana Kemunto amegonga umri wa miaka 21,yeye ni mzaliwa wa Kaunti ya Kisii. Uraibu wake ni kuogelea kupika na kusafiri. Picha/Richard Maosi
Esther Muthoni ni mwanamitindo kutoka kaunti ya Nakuru ambaye wakati wake mwingi anapenda kuutumia kujifunza miondoko mbalimbali na kuigiza...
Esther Bobo ni mwanafunzi kutoka eneo la Molo Kaunti ya Nakuru. Yeye ni mwanahabari na mpiga picha chipukizi. Uraibu wake ni kutazama...
Mary Wambui ni mfanyabiashara wa vipodozi katika duka moja la kijumla mjini Nakuru. Anapenda kusafiri na kuogelea. Picha/Richard Maosi
Joyce Omondi, 20, ni mwanafunzi wa uanahabari kutoka chuo kimoja mjini Nakuru. Anapenda kusafiri na kuogelea. Picha/Richard Maosi
Clare Kerubo ni mwanamuziki kutoka Kaunti ya Nakuru. Akiwa mwanahabari chipukizi, anapenda kusafiri na kusoma. Picha/ Richard Maosi
Jenniffer Tenai ni mwanafunzi wa uhasibu kutoka Kaunti ya Uasin Gishu katika Chuo Kikuu cha Moi. Uraibu wake ni kusafiri na kujumuika na...
Alice Wanjiru ni mwanafunzi wa utalii kutoka Dyaakan College Nakuru mjini. Mbali na kuwa mweledi katika kusakata densi, anapenda kusoma....
Mary Alice, 23, ni mwanafunzi wa ususi katika taasisi ya Vera Beauty College mjini Nakuru. Wakati wake mwingi anapenda kusafiri na...
Anayetupambia ukurasa wetu ni Faith Bitok 21. Yeye ni mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Moi Eldoret. Uraibu wake ni kupika, kuogelea na...
Malkia wetu hapa ni Emma Awuor. Yeye ni mtaalamu wa ulimbwende na mwanamitindo maarufu katika Kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kusoma...