Margaret Sophie, 20, ni mwanafunzi wa kozi ya Nguvu Kazi katika Kaunti ya Nakuru. Anapenda kuogelea na kusafiri. Picha/ Richard Maosi
Pauline Wangari, 19, ni mwanamitindo chipukizi kutoka eneo la Ol-Kalou viungani mwa mji wa Nakuru. Anaenzi kutazama filamu na kuimba....
Huyu hapa Lillian Braun, 22, ni mfanyibiashara na mshauri wa mapambo kutoka Kaunti ya Nakuru. Yeye hutumia wakati wake mwingi kucheza...
Grace Wamaitha, 22,ni mwigizaji wa filamu kutoka eneo la Gilgil. Uraibu wake ni kuogelea, kupika na kusafiri. Picha/Richard...
Jane Brown ni mfanyibiashara wa mapambo na ulimbwende Kaunti ya Nairobi. Anaenzi kutazama filamu na kucheza densi. Picha/Richard Maosi
Jesicca Wangare ni mwanafunzi katika taasisi ya Rift Valley Technical Institute Njoro. Anapenda kujumuika na marafiki. PICHA/Richard Maosi
Yvonne Moraa, 21, anatupambia tovuti yetu. Uraibu wake ni kusoma na kuogelea. Picha/Richard Maosi
Grace Oteki, 22, ni mwanahabari chipukizi katika Chuo Kikuu Cha USIU jjjini Nairobi. Anapenda kupika na kutazama filamu. Picha/Richard Maosi
Hildah Milanoi ni mwanafunzi mjini Narok. Akiwa na umri wa miaka 2o, anapenda kutazama filamu na kucheza densi. Picha/Richard Maosi
Morline Atieno amegonga umri wa miaka 22. Yeye ni mwanafunzi katika Chuo Kikuu Cha Kenyatta jijini Nairobi. Apatapo muda, anapenda kutazama...
AWINO Kagie, 22, ni mwanafunzi katika Chuo Kikuu cha Egerton, Njoro katika Kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kuogelea na kusikiliza...
JANE BROWN, 22, ni mhasibu katika kampuni moja mjini Nakuru. Uraibu wake ni kuogelea, kusafiri na kutazama filamu. Picha/ Richard Maosi