• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 1:15 PM

BI TAIFA APRILI 19, 2019

Margaret Sophie, 20, ni mwanafunzi wa kozi ya Nguvu Kazi katika Kaunti ya Nakuru. Anapenda kuogelea na kusafiri. Picha/ Richard Maosi

BI TAIFA APRILI 18, 2019

Pauline Wangari, 19, ni mwanamitindo chipukizi kutoka eneo la Ol-Kalou viungani mwa mji wa Nakuru. Anaenzi kutazama filamu na kuimba....

BI TAIFA APRILI 17, 2019

Huyu hapa Lillian Braun, 22, ni mfanyibiashara na mshauri wa mapambo kutoka Kaunti ya Nakuru. Yeye hutumia wakati wake mwingi kucheza...

BI TAIFA APRILI 16, 2019

Grace Wamaitha, 22,ni mwigizaji wa filamu kutoka eneo la Gilgil. Uraibu wake ni kuogelea, kupika na kusafiri. Picha/Richard...

BI TAIFA APRILI 15, 2019

Jane Brown ni mfanyibiashara wa mapambo na ulimbwende Kaunti ya Nairobi. Anaenzi kutazama filamu na kucheza densi. Picha/Richard Maosi

BI TAIFA APRILI 14, 2019

Jesicca Wangare ni mwanafunzi katika taasisi ya Rift Valley Technical Institute Njoro. Anapenda kujumuika na marafiki. PICHA/Richard Maosi

BI TAIFA APRILI 13, 2019

Yvonne Moraa, 21, anatupambia tovuti yetu. Uraibu wake ni kusoma na kuogelea. Picha/Richard Maosi

BI TAIFA APRILI 12, 2019

Grace Oteki, 22, ni mwanahabari chipukizi katika Chuo Kikuu Cha USIU jjjini Nairobi. Anapenda kupika na kutazama filamu. Picha/Richard Maosi

BI TAIFA APRILI 11, 2019

Hildah Milanoi ni mwanafunzi mjini Narok. Akiwa na umri wa miaka 2o, anapenda kutazama filamu na kucheza densi. Picha/Richard Maosi

BI TAIFA APRILI 10, 2019

Morline Atieno amegonga umri wa miaka 22. Yeye ni mwanafunzi katika Chuo Kikuu Cha Kenyatta jijini Nairobi. Apatapo muda, anapenda kutazama...

BI TAIFA JUMAMOSI, APRILI 6, 2019

AWINO Kagie, 22, ni mwanafunzi katika Chuo Kikuu cha Egerton, Njoro katika Kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kuogelea na kusikiliza...

BI TAIFA JUMAMOSI, MACHI 30, 2019

JANE BROWN, 22, ni mhasibu katika kampuni moja mjini Nakuru. Uraibu wake ni kuogelea, kusafiri na kutazama filamu. Picha/ Richard Maosi