• Nairobi
  • Last Updated June 2nd, 2023 8:14 PM

Demu adondokwa mate ex wake akivisha pete kipusa aliyedharau

NA JANET KAVUNGA MALINDI MJINI MWANADADA wa hapa alidondokwa mate akishuhudia mpenzi wake wa zamani akifunga harusi na demu ambaye...

Mwalimu akataa mimba aliyompa demu Valentino

Na JANET KAVUNGA MALINDI MJINI MWALIMU wa shule moja viungani mwa mji huu amejitenga na mimba ambayo mpenzi wake anadai alipata...

Pasta matatani kukwamilia pikipiki aliyoazima imsaidie kuhudhuria mkutano wa injili

NA JOHN MUSYOKI PASTA aliyeazima pikipiki ya muumini wake kwenda kuhudhuria krusedi, alizomewa vikali alipokosa kurejesha pikipiki hiyo...

Kipusa atimua malofa kupanga njama ya kumtongoza wakidai kumjulia hali baada ya kuugua

Na MWANDISHI WETU WITU MJINI UJANJA wa machali wa hapa kutumia ugonjwa wa demu kumtongoza uligonga mwamba mwanadada alipowafokea na...

Kahaba asimulia jinsi mteja alivyogeuka jini na kutoweka

NA JANET KAVUNGA MTWAPA MJINI ILIKUWA sinema ya bure kwa wenyeji wa hapa kahaba mmoja maarufu eneo hili aliposimulia jinsi mteja wake...

Wazee wamfanyia kidosho tambiko kwa kutusi nyanya mkwe

NA JANET KAVUNGA SOKOKE, KILIFI WAZEE katika kijiji kimoja hapa walifanya tambiko kumtakasa mwanadada mmoja baada ya kulaaniwa na...

Aibu tupu mke wa mwanasiasa kukataa kuandalia wafuasi chai

NA NICHOLAS CHERUIYOT ABOSI, SOTIK MWANASIASA limbukeni kutoka eneo hili alipata aibu ya mwaka mkewe alipohepa bila kuandalia chai...

Warembo waangushana kuona kiongozi wa vijana akiwa na gari

Na LEAH MAKENA SOUTH C, NAIROBI WAREMBO katika kanisa la hapa walishangaza washiriki walipoangushana chini wakipigania gari la kiongozi...

Faini ya jogoo 3, mbuzi 2 kwa kula uroda na jirani

NA TOBBIE WEKESA MATUNGU, MUMIAS MWANADADA aliyeolewa maeneo haya alipigwa faini ya jogoo watatu na mbuzi wawili, baada ya kupatikana...

Waya ya stima yakatiza uraibu wa kozimeni aliyetesa wenyeji

DIMBWINI LIKONI Na DOMINIC MAGARA TABIA YA MLOFA mmoja kuchungulia madirisha ya watu wakiwa wamelala, imefikia kikomo pale alipogusa...

Kisura azua fujo kwa kalameni akidai Sh5,000 zamshusha bei

UKUNDA,KILIFI Na DOMINIC MAGARA KIDOSHO mmoja alikataa kushuka kutoka gari la windo lake akidai kulipwa Sh 10,000 kama ada ya kukesha...

Ni mguu niponye pasta akifuata waumini kwa mama pima kijijini

Kimuka ,KAJIADO Na TOBBIE WEKESA KIZAAZAA kilizuka eneo hili mapolo walipoacha glasi zao za vinywaji na kuchomoka mbio baada ya kuona...