• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 10:08 PM

Polo atorokwa na demu juu ya msoto

Na TOBBIE WEKESA ROASTERS, Nairobi POLO mmoja alilazimika kula kwa macho baada ya kidosho aliyekuwa akiburudika naye katika baa...

Waume wazomea pasta wa wake wao

Na TOBBIE WEKESA INGOTSE, KAKAMEGA MAKALAMENI kadhaa waliwashangaza wengi walipovamia mkutano wa wahubiri wa eneo hili wakidai wake...

Avuliwa taulo sababu ya visura

Na JOHN MUTUKU KARIOBANGI, Nairobi JUMBE za mapenzi ambazo jamaa alitumiwa na 'mipango ya kando' nusura zivuruge ndoa mkewe...

Dume bwege labururwa na mke

Na JOHN MUTUKU HURUMA, NAIROBI KALAMENI aliyekuwa ametoroka mkewe na wanawe watatu na kupiga kambi katika nyumba ya kimada wake,...

Mke azima polo kuoa wa pembeni

Na JOHN MUSYOKI KIVAA, MASINGA UGOMVI ulizuka katika boma moja hapa, jamaa alipokabiliwa na mke wake wa kwanza kwa kutaka kuuza ploti...

Azirai mke kufichua ana sponsa

Na TOBBIE WEKESA KIMBO, Ruiru LOFA mkazi wa hapa alipigwa na butwaa baada ya mke wake kufichua kwamba amekuwa akilishwa na mpango...

Pasta afokewa kupendelea vipusa

Na TOBBIE WEKESA BUCHINGA, Mumias KIOJA kilizuka katika kanisa moja la eneo hili baada ya mapolo kumzomea pasta wakidai kwamba...

Kisura avua kalameni kila kitu!

Na JOHN MUTUKU ROYSAMBU, Nairobi POLO wa hapa amebaki hohehahe baada ya kuibiwa mali yote ya nyumba na mpenzi waliyefahamiana...

Jombi ‘afilisisha’ shugamami

Na JOHN MUTUKU LAVINGTON, NAIROBI SHUGAMAMI mtaani hapa alitiririkwa na machozi ya majuto baada ya barubaru aliyemteka kimapenzi,...

Ajuta kupeleka kesi kwa wakwe

Na JOHN MUSYOKI KITENGELA, Kajiado HATUA ya kalameni wa hapa ya kumshtaki mkewe kwa wazazi wake iliambulia patupu alipoangushiwa...

Kilio beste akiponyoka na bebi wake

Na JOHN MUTUKU KAYOLE, Nairobi POLO mmoja mtaani hapa hajiwezi hajifai kwa machozi baada ya rafiki yake wa dhati kumpokonya...

Walioenda kulipa mahari walimwa faini

Na JOHN MUSYOKI SHANZU, Mombasa VIJANA waliofika katika boma moja sehemu hii kulipa mahari walitozwa faini na wazee wa familia ya...