• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 6:39 PM

Ndumba yazima uchu wa jombi

Na JOHN MUSYOKI KABATI, KITUI KALAMENI mwenye tamaa ya kunyemelea wake wa wanaume wengine aliwachekesha wenzake nusra wavunjike mbavu...

Fundi mjengo afichua siri kali ya buda

Na NICHOLAS CHERUIYOT GELEGELE, SOTIK KULIKUWA kioja katika boma moja la hapa fundi mmoja alipofika na kumdai buda malipo baada ya...

Mke akaangwa kutema mume aliyefutwa

Na CORNELIUS MUTISYA KAVIANI, MACHAKOS MAMA wa hapa alizomewa vikali na wenzake kwa kumpuuza mumewe alipofutwa kazi na kuanza kumezea...

Kimada atumia kafyu kuadhibu polo

Na TOBBIE WEKESA KAYOLE, NAIROBI JAMAA mmoja mtaani humu alilazimika kulala nje ya mlango wa nyumba ya mpango wake wa kando kidosho...

Buda aonya polo kuhusu ulafi wa binti

Na JOHN MUSYOKI KAVISUNI, KITUI MZEE mmoja wa hapa, alizua purukushani nyumbani kwake akidai binti yake alikubali kuolewa na mpenzi...

Mlevi avisha kisura wa baa pete

Na JOHN MUSYOKI NGOLIBA, KIAMBU MLOFA aliyekuwa akiburudika katika kilabu kimoja mtaani hapa aliwachekesha wenzake alipoamua kumvisha...

Abebwa juu juu kutumia sheng kanisani

Na MWANDISHI WETU KAWANGWARE, NAIROBI HALI ya taharuki ilizuka katika kanisa moja mtaani hapa polo alipotimuliwa kwa kutumia sheng...

Fundi mtoro akanyaga ‘waya’ moto

Na MWANDISHI WETU DAGORETTI, Nairobi FUNDI wa stima mtaani hapa aliyekuwa na tabia ya kunyemelea vipusa wateja wake, alijipata pabaya...

Apoteza nyadhifa kwa kujaa tamaa

Na JOHN MUSYOKI KIVAA, MASINGA TAMAA ya mzee mmoja wa hapa, ilimfanya akose nyadhifa zote alizokuwa akishikilia kanisani na...

Demu ‘sumaku’ afukuzwa ploti

Na MWANDISHI WETU HURUMA, NAIROBI KIZAAZAA kilizuka katika ploti moja mtaani hapa, akina mama walipomkabili kidosho waliyedai alikuwa...

Mke afinya nyeti za polo wakizozana

Na Mwandishi Wetu KANGEMI, NAIROBI  JOMBI mmoja mtaani hapa anaendelea kuuguza majeraha kwenye nyeti zake baada ya kushambuliwa na...

Akosoa shemeji kwa ‘kumharibia’ mke

Na TOBBIE WEKESA RUNDA, Nairobi BUDA wa eneo hili alikasirika na kutishia kumtimua shemeji yake kwake akimlaumu kwa kumpotosha...