NA DENNIS SINYO JOMBI mmoja ambaye alikuwa akiheshimiwa na wenzake alishangaza watu alipomkana mkewe hadharani ili asimkasirishe mpango...
Na Mirriam Mutunga KATHWANA, THARAKA NITHI MWANADADA mmoja kutoka hapa alidondokwa na machozi mpenzi wake wa awali alipomuoa dada...
HURUMA, NAIROBI Na MWANDISHI WETU Pasta wa kanisa moja mtaani humu, aliwakasirisha waumini kwa kuwatangazia kuwa atafunga kanisa kwa...
Na MASHIRIKA Frankfurt, Ujerumani MWANAMKE mmoja katika mji huu alishangaza jamaa na marafiki kwa kusema kuwa heri mumewe angekufa...
Na TOBBIE WEKESA KERICHO KIPUSA mtaani hapa aliwashangaza wengi alipoamua kuuza suti mpya ya mumewe ili apate fedha za kumwezesha...
Na MWANDISHI WETU VOI MJINI Jamaa aliyekuwa paparazzi maarufu mjini humu anajuta kuuza simu na kamera yake kwa bei ya kutupa ili...
KAPKATET, KERICHO NA NICHOLAS CHERUIYOT ILIBIDI polo wa hapa akubali kwa haraka kufanya kazi za jikoni ili kuokoa ndoa yake baada ya...
Na TOBBIE WEKESA KAWANGWARE, Nairobi WAPANGAJI wa ploti moja mtaani humu walibaki vinywa wazi baada ya polo kuhepa na mke wa...
Na NICHOLAS CHERUIYOT AINAMOI, Kericho KULIZUKA kioja eneo hili polo na mkewe walipolumbana vikali kisha wakapiga magoti...
Na CORNELIUS MUTISYA MISUUNI, MACHAKOS PASTA wa kanisa moja eneo hili aliamua kuuza vyombo vya muziki ili ajikimu kimaisha baada ya...
Na TOBBIE WEKESA EMBAKASI, Nairobi LOFA mmoja mkazi wa eneo hili aliangushiwa kichapo kikali demu wake alipogundua kwamba...
Na TOBBIE WEKESA GIKOMBA, Nairobi KIOJA kilizuka sokoni baada ya akina mama mboga wawili kupimana nguvu hadharani waking’ang’ania...