• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Akana mke peupe kulinda wa pembeni

NA DENNIS SINYO JOMBI mmoja ambaye alikuwa akiheshimiwa na wenzake alishangaza watu alipomkana mkewe hadharani ili asimkasirishe mpango...

Demu ajuta kutema jamaa ‘msoto’

Na Mirriam Mutunga KATHWANA, THARAKA NITHI MWANADADA mmoja kutoka hapa alidondokwa na machozi mpenzi wake wa awali alipomuoa dada...

Wazomea pasta kudai fungu la kumi wakati wa corona

HURUMA, NAIROBI Na MWANDISHI WETU Pasta wa kanisa moja mtaani humu, aliwakasirisha waumini kwa kuwatangazia kuwa atafunga kanisa kwa...

Asema mume alifaa kufa badala ya mbwa

Na MASHIRIKA Frankfurt, Ujerumani MWANAMKE mmoja katika mji huu alishangaza jamaa na marafiki kwa kusema kuwa heri mumewe angekufa...

Auza suti ya polo apate hela za saluni

Na TOBBIE WEKESA KERICHO KIPUSA mtaani hapa aliwashangaza wengi alipoamua kuuza suti mpya ya mumewe ili apate fedha za kumwezesha...

Vimada wafyonza jasho la paparazzi

Na MWANDISHI WETU VOI MJINI Jamaa aliyekuwa paparazzi maarufu mjini humu anajuta kuuza simu na kamera yake kwa bei ya kutupa ili...

Polo mtafuna yaya afumaniwa na mke wakati wa corona

KAPKATET, KERICHO NA NICHOLAS CHERUIYOT ILIBIDI polo wa hapa akubali kwa haraka kufanya kazi za jikoni ili kuokoa ndoa yake baada ya...

Mpangaji ahepa na mke wa ‘caretaker’

Na TOBBIE WEKESA KAWANGWARE, Nairobi WAPANGAJI wa ploti moja mtaani humu walibaki vinywa wazi baada ya polo kuhepa na mke wa...

Pasta anaswa na mkewe kona mbaya

Na NICHOLAS CHERUIYOT AINAMOI, Kericho KULIZUKA kioja eneo hili polo na mkewe walipolumbana vikali kisha wakapiga magoti...

Njaa yasukuma pasta ukutani

Na CORNELIUS MUTISYA MISUUNI, MACHAKOS PASTA wa kanisa moja eneo hili aliamua kuuza vyombo vya muziki ili ajikimu kimaisha baada ya...

Lofa azabwa makofi na ‘chips funga’

Na TOBBIE WEKESA EMBAKASI, Nairobi LOFA mmoja mkazi wa eneo hili aliangushiwa kichapo kikali demu wake alipogundua kwamba...

Mama mboga watwangana sokoni

Na TOBBIE WEKESA GIKOMBA, Nairobi KIOJA kilizuka sokoni baada ya akina mama mboga wawili kupimana nguvu hadharani waking’ang’ania...