NA MARU WANGARI LIMURU MJINI JAMAA mjini hapa alijipata mashakani kwa kufanyia utani masharti ya kujikinga na corona. Yote...
Na TOBBIE WEKESA BUSIADA, BUSIA MWANADADA wa hapa aliwafanya wakazi kucheka kwa kumlazimisha mumewe mlevi kuanika malazi aliyolowesha...
Na BENSON MATHEKA MAKADARA, ATHI RIVERĀ WAKAZI wa mtaa huu walifurahia sinema bila malipo mwanadada alipomgombeza mumewe akimlaumu...
NA JOHN MUSYOOKI MBIUNI, MACHAKOSĀ KIOJA kilishuhudiwa hapa, jombi na kimada wa mtaani walipovamiwa na nyuki wakirushana roho ndani...
Na NICHOLAS CHERUIYOT BAHATI, Nakuru BUDA wa hapa aliingiwa na tumbojoto alipofika nyumbani na kupata kikao cha wafuasi waliofika...
Na MWANDISHI WETU OLENGURUONE, NAKURU KIPUSA aliyeolewa mwishoni mwa mwaka jana aliduwaa mumewe aliporudi kuishi na wazazi wake...
Na Charles Ongadi MAGANYAKULO, KWALE BODABODA wa hapa alilazimika kuacha pikipiki yake kwenye steji na kutimka mbio za mguu niponye...
Na John Musyoki OTHAYA, Nyeri Pasta wa kanisa moja eneo hili, alishangaza waumini alipodinda kumuombea jamaa aliyekataa kuoa binti...
Na LUDOVICK MBOGHOLI VOI MJINI POLO mmoja mjini hapa, hakuamini alipolazimishwa kumlipia demu bili kubwa ya mlo. Inasemekana jamaa...
Na John Musyoki KAVATI, Kitui MGANGA wa hapa alianguka na kuzirai baada ya kugundua kwamba mke wake alikuwa ameokoka katika njama ya...
Na John Musyoki NGETANI, Masinga MUUMINI wa kanisa moja kutoka eneo hili alishangaza watu alipokata mti aliopanda kanisani baada ya...
Na JOHN MUSYOKI KAMANDIO, KITUI MZEE wa hapa alishangaza wakazi kwa kumtaka mwenzake ampe wasichana wake wawili ili waolewe na...