• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 7:50 PM

Polo aona moto kuchezea maski

NA MARU WANGARI LIMURU MJINI JAMAA mjini hapa alijipata mashakani kwa kufanyia utani masharti ya kujikinga na corona. Yote...

Polo aliyekojoa kitandani ajuta

Na TOBBIE WEKESA BUSIADA, BUSIA MWANADADA wa hapa aliwafanya wakazi kucheka kwa kumlazimisha mumewe mlevi kuanika malazi aliyolowesha...

Polo ashirikiana na wezi kwake kuporwe

Na BENSON MATHEKA MAKADARA, ATHI RIVERĀ  WAKAZI wa mtaa huu walifurahia sinema bila malipo mwanadada alipomgombeza mumewe akimlaumu...

Wang’atwa na nyuki wakila uroda

NA JOHN MUSYOOKI MBIUNI, MACHAKOSĀ  KIOJA kilishuhudiwa hapa, jombi na kimada wa mtaani walipovamiwa na nyuki wakirushana roho ndani...

Siasa zaletea buda balaa nyumbani

Na NICHOLAS CHERUIYOT BAHATI, Nakuru BUDA wa hapa aliingiwa na tumbojoto alipofika nyumbani na kupata kikao cha wafuasi waliofika...

Jombi aacha mke na kurudi kwao

Na MWANDISHI WETU OLENGURUONE, NAKURU KIPUSA aliyeolewa mwishoni mwa mwaka jana aliduwaa mumewe aliporudi kuishi na wazazi wake...

Kioja abiria jini akipotelea hewani!

Na Charles Ongadi MAGANYAKULO, KWALE BODABODA wa hapa alilazimika kuacha pikipiki yake kwenye steji na kutimka mbio za mguu niponye...

Pasta adinda kuombea polo aliyekataa kuoa bintiye

Na John Musyoki OTHAYA, Nyeri Pasta wa kanisa moja eneo hili, alishangaza waumini alipodinda kumuombea jamaa aliyekataa kuoa binti...

Awaka demu kuzidisha bili ya mlo

Na LUDOVICK MBOGHOLI VOI MJINI POLO mmoja mjini hapa, hakuamini alipolazimishwa kumlipia demu bili kubwa ya mlo. Inasemekana jamaa...

Mganga azirai mkewe alipookoka

Na John Musyoki KAVATI, Kitui MGANGA wa hapa alianguka na kuzirai baada ya kugundua kwamba mke wake alikuwa ameokoka katika njama ya...

Akata mti baada ya kukosa cheo kanisani

Na John Musyoki NGETANI, Masinga MUUMINI wa kanisa moja kutoka eneo hili alishangaza watu alipokata mti aliopanda kanisani baada ya...

Buda aoza bintize kulipia deni

Na JOHN MUSYOKI KAMANDIO, KITUI MZEE wa hapa alishangaza wakazi kwa kumtaka mwenzake ampe wasichana wake wawili ili waolewe na...