• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 8:55 AM

Sponsa afukuza demu kwa kukojoa kitandani

NA CORNELIUS MUTISYA GREEN PARK,  ATHIRIVER DEMU mmoja alifukuzwa na sponsa wake mtaani hapa kwa sababu ya kukojoa...

Siri ya mke wa nyumba mbili yafichuka

Na TOBBIE WEKESA MWIKI, NAIROBI Kalameni mmoja mtaani hapa, alipigwa na butwaa alipogundua kuwa mwanadada aliyeita mkewe alikuwa...

Shugamami atimua polo kutesa familia

NA NICHOLAS CHERUIYOT KERICHO MJINI MAMASUKARI wa eneo hili, alimfurusha barobaro kwake alipogundua kwamba kijana huyo aliacha mke na...

Demu pabaya kujilipia mahari

Na Leah Makena MAGOGONI, THIKA Kidosho wa hapa alikaripiwa na wazee kwa kuchukua mkopo kusaidia mumewe kulipa mahari. Duru zasema...

Aliyemfanya mume mtumwa ajuta

Na MWANDISHI WETU ZIMMERMAN, NAIROBI WANAWAKE wanaoishi kwenye ploti moja mtaani humu walimfokea mwenzao kwa kile walichodai kuwa na...

Demu alazimisha awe mke wa pili

Na MWANDISHI WETU GANZE, KILIFI DEMU aliyewekwa kinyumba na jamaa mtaani hapa na kupata mimba, alikataa kuondoka mke wa jombi...

Atimuliwa kuishi na mume kwa kakake

NA NICHOLAS CHERUIYOT BOITO, BOMET POLO wa hapa alimtimua dada yake na mumewe kwa kugeuza nyumba yake kuwa ya kufanyia mapenzi.?...

Alipia kitanda alichovunja akimumunya uroda

NA NICHOLAS CHERUIYOT KERICHO MJINI ILIBIDI polo wa hapa kumnunulia rafiki yake kitanda kipya baada ya kuvunja chake akiramba asali...

Polo arudisha watoto kwa wakwe zake

NA JOHN MUSYOKI MASII, MWALA KALAMENI wa hapa alishangaza wakazi wa eneo hili aliporudisha watoto wawili pacha kwa wakwe zake na...

Mahari ya binti yazulia wazazi zogo

Na TOBBIE WEKESA BUMULA, BUNGOMA KIZAAZAA kilizuka katika boma moja eneo hili baada ya polo na mkewe kugombana kuhusu mahari ya binti...

Mke wa kudharau mume aonywa vikali

Na LEAH MAKENA KATHERI, MERU MAMA wa hapa alipata aibu ya mwaka alipozimwa na wazee kwa kujaribu kujifanya kiongozi wa familia na...

Polo ala rungu kumezea binamuye

Na LEAH MAKENA GATUNGA, THARAKA NITHI JAMAA wa hapa aliona kilichomnyonyoa kanga manyoya alipoingizwa kwenye gunia na kupokezwa...