NA JOHN MUSYOKI MATENDENI, EMBU JAMAA mmoja kutoka hapa alijipata pabaya alipofokewa na mama yake kwa kuoa mwanadada mzee aliyemzidi...
Na John Musyoki MEKA, EMBU KISANGA kilizuka katika boma moja hapa jamaa alipofurushwa mazishini kwa kutaka kubeba mali ya marehemu....
Na JOHN MUSYOKI MATUU, MACHAKOS POLO aliyeajiriwa kazi ya shamba boi eneo hili alilazimika kupiga nduru baada ya kupapurwa na mdosi wake...
Na Ludovick Mbogholi JUNDA, KISAUNI POLO wa hapa alijipata katika njia panda baada ya kipusa aliyemuoa kumlazimisha achukue mtoto...
NA MIRRIAM MUTUNGA MUKONDE, MBOONI MAMA wa hapa aliwashangaza wakazi kwa kufunganya virago na kurudi kwa wazazi wake akidai kuwa mumewe...
NA LEAH MAKENA KANGETA, MAUA Kalameni wa hapa alilazimika kutoroka nyumbani kuhepa mwanadada aliyechaguliwa na mama yake kuwa mke wake....
Na MIRRIAM MUTUNGA NJUKINI, TAITA TAVETA MGANGA wa hapa alijipata pabaya baada ya jamaa kupiga kambi kwake akimtaka amrudishie mbuzi...
SOY, UASIN GISHU JOMBI wa hapa aliwashangaza waumini wa kanisa kwa kuwaambia kwamba baba yake alikuwa pasta tapeli. Jamaa aliwaarifu...
NA CORNELIUS MUTISYA MISUUNI, MACHAKOS Daktari aliyeheshimiwa eneo hili alikiona kilichomtoa kanga manyoya shingoni kwa kumtongoza kipusa...
SABATIA, VIHIGA Kizaazaa kilizuka eneo hili baada ya mashemeji watarajiwa kuwatawanya wazee waliokuwa wakijadili harusi ya kijana wao kwa...
After a family tragedy, three generations of the Deetz...
Soulmates Eric and Shelly are brutally murdered when the...
When tech billionaire Slater King meets cocktail waitress...