• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 8:55 PM

Dhambi za zamani: Kidero ashtakiwa kwa ufujaji pesa miaka 9 iliyopita

Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Dkt Evans Kidero na mbunge wa zamani wa Embakasi ya Kati John Ndirangu Kariuki...

Kijiji ambapo wazee huchapwa viboko kwa ‘utovu wa nidhamu’

NA LUCY MKANYIKA POLISI katika kaunti ndogo ya Voi, Kaunti ya Taita Taveta, wanachunguza visa vya watu wazima kuchapwa viboko na...

Wanaoishi na HIV kupata dawa za kupunguza makali kwa bei nafuu

NA MARY WANGARI MAMILIONI ya watu wanaougua Ukimwi huenda wakapata afueni kuu kufuatia mkataba mpya utakaowezesha wagonjwa kupokea...

Ogina Koko alenga kuwa Rais akiahidi kuondoa Januari kwenye kalenda

NA RICHARD MAOSI MSANII na mtangazaji maarufu nchini Ogina Koko amedai kuwa ndiye atakuwa Rais wa...

El Nino huenda isigonge Nyeri sana, mtaalamu afichua

WINNIE ONYANDO Na SAMUEL MAINA MKURUGENZI wa Idara ya Hali ya Hewa katika Kaunti ya Nyeri, John Muiruri, amesema huenda El Nino ikakosa...

Aliyekuwa afisa wa NMS asimulia machungu ya maisha

NA WINNIE ONYANDO AFISA wa zamani wa lililokuwa Shirika la Kusimamia Jiji la Nairobi (NMS) sasa anakabiliwa na hali ngumu ya maisha huku...

Hatukuidhinisha mtambo wa Worldcoin wa kumulika macho – Chiloba

NA CHARLES WASONGA UCHUNGUZI wa Tume ya Mawasiliano Nchini (CA) umebaini kuwa kampuni tata ya Worldcoin iliingiza nchini mitambo ya...

Nikabidhiwe jeshi langu, Jenerali Muhoozi aambia babake, Rais Museveni

NA AFP KAMPALA, UGANDA>>> MWANAWE Rais wa Uganda Yoweri Museveni, Jenerali Muhoozi Kainerugaba amezua gumzo mitandaoni kwa...

SHANGAZI AKUJIBU: Mume wangu amefutwa kazi na haniambii, je, nimuulize?

Nimepata habari kuwa mume wangu aliachishwa kazi miezi miwili iliyopita na nimethibitisha kupitia kwa bosi wake. Lakini hajaniambia na...

Munya sasa akujiwa baada ya Oparanya

Na RICHARD MUNGUTI WANDANI wa kiongozi wa Azimio Raila Odinga wanaendelea kuandamwa na mkono wa sheria huku kiongozi wa chama cha Party...

Namuomba Mungu wa mwisho awe ni wewe – Hamisa Mobetto

Na MWANDISHI WETU MWANAMITINDO wa Tanzania, Hamisa Mobetto ameandika ombi lake kuhusu mahusiano yake na mpenziwe. Kwenye ujumbe...

Iwapo ukeketaji ni dawa, basi mbona michepuko kwenye ndoa?

NA STEPHEN ODUOR Ukeketaji ni mojawapo ya mila ambazo baadhi ya jamii katika Kaunti ya Tana River zimekuwa zikitetea mno kwa madai ya...