Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Dkt Evans Kidero na mbunge wa zamani wa Embakasi ya Kati John Ndirangu Kariuki...
NA LUCY MKANYIKA POLISI katika kaunti ndogo ya Voi, Kaunti ya Taita Taveta, wanachunguza visa vya watu wazima kuchapwa viboko na...
NA MARY WANGARI MAMILIONI ya watu wanaougua Ukimwi huenda wakapata afueni kuu kufuatia mkataba mpya utakaowezesha wagonjwa kupokea...
NA RICHARD MAOSI MSANII na mtangazaji maarufu nchini Ogina Koko amedai kuwa ndiye atakuwa Rais wa...
WINNIE ONYANDO Na SAMUEL MAINA MKURUGENZI wa Idara ya Hali ya Hewa katika Kaunti ya Nyeri, John Muiruri, amesema huenda El Nino ikakosa...
NA WINNIE ONYANDO AFISA wa zamani wa lililokuwa Shirika la Kusimamia Jiji la Nairobi (NMS) sasa anakabiliwa na hali ngumu ya maisha huku...
NA CHARLES WASONGA UCHUNGUZI wa Tume ya Mawasiliano Nchini (CA) umebaini kuwa kampuni tata ya Worldcoin iliingiza nchini mitambo ya...
NA AFP KAMPALA, UGANDA>>> MWANAWE Rais wa Uganda Yoweri Museveni, Jenerali Muhoozi Kainerugaba amezua gumzo mitandaoni kwa...
Nimepata habari kuwa mume wangu aliachishwa kazi miezi miwili iliyopita na nimethibitisha kupitia kwa bosi wake. Lakini hajaniambia na...
Na RICHARD MUNGUTI WANDANI wa kiongozi wa Azimio Raila Odinga wanaendelea kuandamwa na mkono wa sheria huku kiongozi wa chama cha Party...
Na MWANDISHI WETU MWANAMITINDO wa Tanzania, Hamisa Mobetto ameandika ombi lake kuhusu mahusiano yake na mpenziwe. Kwenye ujumbe...
NA STEPHEN ODUOR Ukeketaji ni mojawapo ya mila ambazo baadhi ya jamii katika Kaunti ya Tana River zimekuwa zikitetea mno kwa madai ya...