• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 10:09 AM

Mwanamume aliyebeba maiti ya mkewe hadi kituoni ageuka mshukiwa mkuu

NA MWANGI MUIRURI  MWANAMUME mmoja wa Murang'a ametiwa mbaroni kwa madai kwamba alimuua mke wake usiku wa Agosti 19, 2023, katika kisa...

Mshauri wa kijasusi wa gavana alikufa kwa kula sumu – Ripoti

NA GEORGE ODIWUOR MSHAURI wa masuala ya ujasusi wa Gavana Gladys Wanga wa Homa Bay, Bernard Omuga, alifariki kwa kula kitu kilichokuwa na...

Mahakama yarudishia Pasta Ezekiel nyota yake

NA RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA kuu imemrejeshea nyota Pasta Ezekiel baada ya kusitisha utekelezaji wa agizo la serikali la kufutilia mbali...

Jinsi mahabusu wanawake walimwokoa Babu Owino ‘kuozea’ seli Wang’uru

Na MWANGI MUIRURI  Julai 20, 2023 na Mbunge wa Embakasi Mashariki yuko katika kituo cha polisi cha Wang'uru kilichoko katika Kaunti ya...

Serikali ya Mung’aro yapata tiba ya kuzuia mauaji ya wazee

NA ALEX KALAMA  SERIKALI ya Kaunti ya Kilifi imeanza kutekeleza mikakati yake ya kuhakikisha wazee wanalindwa dhidi ya mauaji na...

Familia yataka maswali yajibiwe kuhusu mauaji ya jamaa yao

NA WYCLIFFE NYABERI Familia moja kijijini Ibacho, eneobunge la Nyaribari Masaba kaunti ya Kisii ingali inatatizika na kifo cha...

Mume na mkewe katika kesi ya unyakuzi wa ardhi Lavington waachiliwa bila kushtakiwa

Na RICHARD MUNGUTI MTU na mkewe wanaodaiwa wamenyakua jumba la kifahari mtaani Lavington Nairobi walifikishwa kortini Agosti 21, 2023...

Barua ya mwisho Joseph Murigi aliandikia mkewe kabla ya kujiua

Na MWANGI MUIRURI "Kwa wakati mwingine ni sharti ujitoe kafara ndio unayempenda zaidi apate afueni ya kuishi atakavyo. Bibi wee,...

Madaktari wataka afya iwe ajenda ya mazungumzo

NA HELLEN SHIKANDA WAHUDUMU wa afya, kupitia viongozi wa vyama vya kutetea masilahi yao, wanataka changamoto zinazokumba sekta ya afya...

‘Mathe halisi wa Ngara’ atiwa mbaroni

Na NYABOGA KIAGE Bi Nancy Indoveria Kazungu, anayejulikana kwa jina maarufu Mathee wa Ngara ambaye na mshukiwa mkuu kwenye biashara ya...

DONDOO: Mke amchemkia mumewe kwa ‘kumla’ kisura kwa macho

KILIFI MJINI Na JANET KAVUNGA MWANADADA aliyekuwa shopping na mumewe alilipuka kwa hasira kufuatia tabia ya jamaa huyo ya kukazia macho...

Ababu ashambuliwa na wenzake UDA kwa “kutelekeza wanariadha” 

Na WANGU KANURI Waziri wa Michezo Ababu Namwamba ameshutumiwa vikali na viongozi katika chama cha United Democratic Alliance, kwa kile...